KKKT: kufungisha ndoa mnatoza 100,000/=!

KKKT: kufungisha ndoa mnatoza 100,000/=!

Kuna rafiki yangu mmoja ameamua kubariki ndoa ,hii ni baada ya kuishi katk ndoa ya Kimila kwa mwongo mmoja! Ila hasa na mashinikizo ya kidini kuwa ni lazima wafunge ndoa kanisani ili wakamilike kiroho! Sasa alipokwenda kanisani ndio kakumbana na hiyo hela kama sehemu ya masharti ! Ameogopa akajua anaibiwa! Ndio kanifuata mimi "mzee wa Kanisa " kuuliza hili ni tozo gani ! Ama kweli katika ufahamu wangu wa Kanuni za KKKT hii kwangu ni mpya ! Hebu mnijuze naogopa kumpigia mchungaji kuuliza !Kam ndiyo ilivo mh....!TAFADHALI TUCHANGIE KWA STAHA BILA JAZBA!
Acha upuuzi sasa kama laki inakushinda utaweza kuishi na mke.?
 
King'asti mie naona mnachanganya kitu hapa. Ndoa inafungishwa na kanisa kwa mujibu wa sheria za nchi. Kile kitabu chenye vyetu vya ndoa kinachukuliwa kwa mkuu wa wilaya au mahakamani, na kinalipiwa BAADA ya kumaliza vyeti vyote.

Kwa mujibu wa serikali., cheti cha ndoa ni 10,000/-Tsh. Hicho ni cheti na sio sadaka, jaribuni kutofautisha gharama za cheti na sadaka ya kushukuru. Mtu akifunga ndoa, anatoa sadaka ya kushukuru kanisani, analipia baadhi ya mapambo ya kanisa ili kufanikisha upambwaji wa kanisa.

Sidhani kama kanisa linamtendea haki kwa kuchaji 100,000/- kwa cheti tu. Alafu kumbukeni hiyo 100,000/- kwa baadhi ya watu ni pesa nyingi mno, hivi nyie hamuishi Tz...??
Kawaida sana!!! jipange.
 
Wewe tahira yale maji hayauzwi, unanunua CDs ndio unapewa anointing water , halafu utajua gharama za Usafiri za ndege au ulivozoea kupakia mihogo kwenye daladala utajua na kwenye ndege ni free

hizo sisi watu wa business huitwa hidden cost au ice barg cost,, cd kwanini wauze CD dollar 60 wakati wanaweza leta masters moja na mkawa mnajikopia waumini wote for free au hata kwa buku 5 tu... kondoo wenyewe wamechoka na wamekondea bado mnawakamua maziwa ?
 
Hata ungefungia serikalin lazima ulipie cheti cha ndoa si chin ya elfu 50. So i gues ni sawa kwan sharika nyingine zipo kwenye ujenz na nn?
 
Kuna rafiki yangu mmoja ameamua kubariki ndoa ,hii ni baada ya kuishi katk ndoa ya Kimila kwa mwongo mmoja! Ila hasa na mashinikizo ya kidini kuwa ni lazima wafunge ndoa kanisani ili wakamilike kiroho! Sasa alipokwenda kanisani ndio kakumbana na hiyo hela kama sehemu ya masharti ! Ameogopa akajua anaibiwa! Ndio kanifuata mimi "mzee wa Kanisa " kuuliza hili ni tozo gani ! Ama kweli katika ufahamu wangu wa Kanuni za KKKT hii kwangu ni mpya ! Hebu mnijuze naogopa kumpigia mchungaji kuuliza !Kam ndiyo ilivo mh....!TAFADHALI TUCHANGIE KWA STAHA BILA JAZBA!
Mzee wa kanisa unaogopa kumwuliza mchungaji?Sasa wewe mzee wakanisa wa kazi gani! si bora uitwe mama wa kanisa sasa.
 
Wazee wa kanisa wengine hasa kama wewe ni kazi kweli yaani watu wakisha changia hapa ndio utapata ujasiri wa kumpigia simu huyo mchungaji wako?! Au comments za wanaJF ndio zitanusuru hizo pesa unazo hisi jamaa anaibiwa?!

Nijuavyo vyecheti cha ndoa hata 10,000 haizidi kama sio kufika ila kwa watu wa Arusha wanauziwa kwa 50,000 na watu hawalalami sasa pia sijajua sababi gani hasa.

Bado nazidi kukushangaa wewe mzee wa kanisa mwoga...au huyo mchunagi ni mwanaJF wategemea akujibu humu?!
 
Hata ungefungia serikalin lazima ulipie cheti cha ndoa si chin ya elfu 50. So i gues ni sawa kwan sharika nyingine zipo kwenye ujenz na nn?

Mmh?! Vya URT hii hii au ipi?! Je umeoa wewe au ni vp yani?! Si chini ya 50,000 mmh?!!
 
Mwambie akaulizie vizuri, nachojua ni sh. 50000, ya cheti na sio mafundisho kama alivyosema.
 
Mkuu Mungu alikupa akili itumie vema ! mimi nimeuliza swali kama huna jibu nyamaza! Mimi ni mLuther ila sijawhi shiriki kwa karibu katika michakato hii ,pengine ni sahihi au jamaa kadanganywa ! Ndio maana umeweka utambulisho wako hivo!
Napatwa na wasiwasi kuhusu wewe kujiita "Mzee wa Kanisa!" Inakuwaje hata hujui bei ya Cheti cha Ndoa kuwa ni 10,000/=? Acha kudanganya watu. Kama kweli kaambiwa hivyo tutajie ni usharika gani na wa wapi ili wahusika waje hapa JF kukanusha au kukubali!
 
Kuna rafiki yangu mmoja ameamua kubariki ndoa ,hii ni baada ya kuishi katk ndoa ya Kimila kwa mwongo mmoja! Ila hasa na mashinikizo ya kidini kuwa ni lazima wafunge ndoa kanisani ili wakamilike kiroho! Sasa alipokwenda kanisani ndio kakumbana na hiyo hela kama sehemu ya masharti ! Ameogopa akajua anaibiwa! Ndio kanifuata mimi "mzee wa Kanisa " kuuliza hili ni tozo gani ! Ama kweli katika ufahamu wangu wa Kanuni za KKKT hii kwangu ni mpya ! Hebu mnijuze naogopa kumpigia mchungaji kuuliza !Kam ndiyo ilivo mh....!TAFADHALI TUCHANGIE KWA STAHA BILA JAZBA!

Hakuna malipo hayo isipokuwa bei ya cheti. Kuhusu laki moja inaweza kuwa kweli pia hasa pale ambapo mtu anaenda kufungia ndoa usharika ambao sio wake kwa vyovyote kuna gharama fulani hasa pale Azania Front mahali ambapo wengi wanapenda. Cost lazima ziwepo kwa sehemu fulani. Maelezo zaidi njoo PM
 
Za LEO HILI NI JUKWAA HURU KWA NINI NISIULIZE HAPA ! JE NI SHARIKA ZOTE ZINAFANYA HIVI ! NASISISTIZA MIMI NI MZEE WA KANISA SIO WA USHARIKA!
Ahaaa! Kumbe sio mzee wa usharika bali mzee wa kanisa? What makes a difference there if you like to enlighten us please?
 
pesa yote hiyo maskini tutafunga ndoa kweki?
 
Wazee wa Kanisa ni zao la Bibilia ,Wazee wa Usharika ni ni zao la KANISA !
Ahaaa! Kumbe sio mzee wa usharika bali mzee wa kanisa? What makes a difference there if you like to enlighten us please?
 
Kuna rafiki yangu mmoja ameamua kubariki ndoa ,hii ni baada ya kuishi katk ndoa ya Kimila kwa mwongo mmoja! Ila hasa na mashinikizo ya kidini kuwa ni lazima wafunge ndoa kanisani ili wakamilike kiroho! Sasa alipokwenda kanisani ndio kakumbana na hiyo hela kama sehemu ya masharti ! Ameogopa akajua anaibiwa! Ndio kanifuata mimi "mzee wa Kanisa " kuuliza hili ni tozo gani ! Ama kweli katika ufahamu wangu wa Kanuni za KKKT hii kwangu ni mpya ! Hebu mnijuze naogopa kumpigia mchungaji kuuliza !Kam ndiyo ilivo mh....!TAFADHALI TUCHANGIE KWA STAHA BILA JAZBA!

Ndugu au jf great thinker! Habari yako inaonekana haina uchunguzi lakini umesha generalize! Unazungumzia ushirika fulani au kkkt yote Tanzania wana mfumo huo! Ok wakichaji wanakosa? Mbona pombe zinauzwa,mbona kuna wanauojiuza hadi kwa laki 5! Mbona kuna simu za mamilioni! Kwani sadaka ni ya nani? Mambo ya Mungu tunayapa ugumu wakati tunafanya harusi za Mil 30, angalia michango ya harusi na sadaka ya ndoa iliyotolewa siku ya harusi,utasikia 50k! Fanya utafiti ndio uongee tuelewe unamaanisha nini sio kusema eti kanisa linatoza hela! Uliza hizo gharama ni za nini,sababu gani then let's decide on those basics. Mtizamo wangu tu

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
10,000/ au 100,000/?maybe kuna typing error hapo

Unapofunga ndoa kuna gharama za cheti cha ndoa, hata ukifungia ndoa bomani utalipia cheti sina hakika kwa sasa ni sh ngapi but miaka 11 iliyopita nililipia sh elfu 10 kanisa la KKKT huku nilipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom