KKKT: kufungisha ndoa mnatoza 100,000/=!

KKKT: kufungisha ndoa mnatoza 100,000/=!

Huyu mtoa mada kwanza ni MUONGO kwa sbb
Amesema yy ni mzee wa kanisa.Km ni kweli wala asingeleta huu uzi hapa amemuuliza mchungaji au angemshauri muoaji akaulize cha kushangaza anaogopa mpigia cm nchungaji.
Watu wanavozidi kumhoji anaongezea kwamba kalipa nusu ya hela.
Km ni mzee wa kanisa kweli yy na mchungaji kazi zao ni nn?.je mzee wa kanisa na mchungaji ni chui na paka?.Acheni utani.
 
Now kwa mtoa mada. Unaenda kanisani siku ya harusi yako kanisa safi, limepambwa maalum na vitambaa na pia maua fresh. Kwaya inaimba na magitaa hapo na kinanda. Umeme ukikatika kuna generator inaunguruma! Unadhani viko pale automatic? Mtu anaelalamikia laki ya kufunga ndoa ujue hata zaka hatoi.

King'asti mie naona mnachanganya kitu hapa. Ndoa inafungishwa na kanisa kwa mujibu wa sheria za nchi. Kile kitabu chenye vyetu vya ndoa kinachukuliwa kwa mkuu wa wilaya au mahakamani, na kinalipiwa BAADA ya kumaliza vyeti vyote.

Kwa mujibu wa serikali., cheti cha ndoa ni 10,000/-Tsh. Hicho ni cheti na sio sadaka, jaribuni kutofautisha gharama za cheti na sadaka ya kushukuru. Mtu akifunga ndoa, anatoa sadaka ya kushukuru kanisani, analipia baadhi ya mapambo ya kanisa ili kufanikisha upambwaji wa kanisa.

Sidhani kama kanisa linamtendea haki kwa kuchaji 100,000/- kwa cheti tu. Alafu kumbukeni hiyo 100,000/- kwa baadhi ya watu ni pesa nyingi mno, hivi nyie hamuishi Tz...??
 
Last edited by a moderator:
Yaani kaka unataka kuniambia mtoa mada ana haki ya kudai break down ya hela anayotoa? Sikubaliani na wewe.


Na huyu anaejiita mzee wa kanisa atakuwa mzembe haswa. Kkkt ina management ya kibiashara haswaa. Hakuna kinachofanywa na mchungaji kabla ya kubarikiwa na wazee wa kanisa ambao ndio baraza la wazee. Kanisani kwangu kuna mwanasheria na mhasibu wa kuajiriwa na sadaka inabebwa na kk security. Na kama alidaiwa pesa za ziada hebu aainishe hapa kwa sababu sina hakika kama kkkt wanadai hela ya kupamba na ya kwaya.

All in all, mie sinaga shida na sadaka kaka. Naweza toa hata milioni manake najua hapo namtega Mungu. Kuna tajiri mmoja muislamu aliniambia mama, ukitaka kufilisika usitoe sadaka. Ila ukitaka kufanikiwa utoe sadaka uone Mungu atakavyokubariki. Nilimshangaa tu manake mie na kipedo changu nimesimama mbele yake na kavaa kanzu, na huku najidai namjua Mungu ninaemuamini. Ndio maana mie sifanyi ubishani wa imani, kila aaminiye anajijua kwa nini anaamini aaminicho
King'asti mie naona mnachanganya kitu hapa. Ndoa inafungishwa na kanisa kwa mujibu wa sheria za nchi. Kile kitabu chenye vyetu vya ndoa kinachukuliwa kwa mkuu wa wilaya au mahakamani, na kinalipiwa BAADA ya kumaliza vyeti vyote.

Kwa mujibu wa serikali., cheti cha ndoa ni 10,000/-Tsh. Hicho ni cheti na sio sadaka, jaribuni kutofautisha gharama za cheti na sadaka ya kushukuru. Mtu akifunga ndoa, anatoa sadaka ya kushukuru kanisani, analipia baadhi ya mapambo ya kanisa ili kufanikisha upambwaji wa kanisa.

Sidhani kama kanisa linamtendea haki kwa kuchaji 100,000/- kwa cheti tu. Alafu kumbukeni hiyo 100,000/- kwa baadhi ya watu ni pesa nyingi mno, hivi nyie hamuishi Tz...??
 
Last edited by a moderator:
Kama laki moja ya kufungisha ndoa inamshinda hivi hata mahari aliweza kulipa kweli?
Mwanamke wake namwonea huruma kaolewa na lofa wa kutupwa.Mbona atakoma.

Mpe pole huyo mwanamke kwa kuolewa na lofa wa kutupwa kama huyo.

Hahahaa
Na kweli!
 
1. Nadhani ni muhimu kwa kanisa kutengeneza vyanzo vya kuingiza mapato. Maana kuna vitu vingi vinahitaji pesa ili kanisa liendelee kutenda kazi.
2. Nimeona mara nyingi watu tunakuwa na budget kubwa za harusi tuseme labda ya millioni 40. Asilimia kubwa hutumika kwenye vilevi na zawadi kwa wanaharusi. Wanapokwenda kanisani kufungishwa ndoa utakuta jumla ya sadaka iliyotolewa haizidi laki 1. Sasa hayo mapesa yote ya nini kama kanisa halikumbukwi. Kama watu hawaoni umuhimu wa kufunga ndoa kanisani si waende bomani. Ni heri waweke viwango fulani, maana hiyo ni huduma na watu hawako tayari kuchangia huduma ya ndoa.

Critical analysis. ..
 
Kuna rafiki yangu mmoja ameamua kubariki ndoa ,hii ni baada ya kuishi katk ndoa ya Kimila kwa mwongo mmoja! Ila hasa na mashinikizo ya kidini kuwa ni lazima wafunge ndoa kanisani ili wakamilike kiroho! Sasa alipokwenda kanisani ndio kakumbana na hiyo hela kama sehemu ya masharti ! Ameogopa akajua anaibiwa! Ndio kanifuata mimi "mzee wa Kanisa " kuuliza hili ni tozo gani ! Ama kweli katika ufahamu wangu wa Kanuni za KKKT hii kwangu ni mpya ! Hebu mnijuze naogopa kumpigia mchungaji kuuliza !Kam ndiyo ilivo mh....!TAFADHALI TUCHANGIE KWA STAHA BILA JAZBA!

Kama wewe ni mzee wa kanisa si wajua taratibu ungemjibu kwa unalojua na kama linapingana na unalojuj si ungechukua nafasi kama mzee wa kanisa afuate ngazi gani kwa tatizo lake, simamia nafasi yako kwa kanisa na uiseme kweli daima usiyumbe
 
Yaani kaka unataka kuniambia mtoa mada ana haki ya kudai break down ya hela anayotoa? Sikubaliani na wewe.


Na huyu anaejiita mzee wa kanisa atakuwa mzembe haswa. Kkkt ina management ya kibiashara haswaa. Hakuna kinachofanywa na mchungaji kabla ya kubarikiwa na wazee wa kanisa ambao ndio baraza la wazee. Kanisani kwangu kuna mwanasheria na mhasibu wa kuajiriwa na sadaka inabebwa na kk security. Na kama alidaiwa pesa za ziada hebu aainishe hapa kwa sababu sina hakika kama kkkt wanadai hela ya kupamba na ya kwaya.

All in all, mie sinaga shida na sadaka kaka. Naweza toa hata milioni manake najua hapo namtega Mungu. Kuna tajiri mmoja muislamu aliniambia mama, ukitaka kufilisika usitoe sadaka. Ila ukitaka kufanikiwa utoe sadaka uone Mungu atakavyokubariki. Nilimshangaa tu manake mie na kipedo changu nimesimama mbele yake na kavaa kanzu, na huku najidai namjua Mungu ninaemuamini. Ndio maana mie sifanyi ubishani wa imani, kila aaminiye anajijua kwa nini anaamini aaminicho
Toa tu my sister na Mungu atakubariki mara dufu. Hiyo sentensi ya mwusho nimeipenda sana. Siku hizi watu hawaishi kubishana..ooh sisi vile wale vile, sisi ndio kanisa la kweli wale waongo..! Sipendi kabisa kushabikia na kubishania imani..naacha aaminicho mwenzangu aendelee nami nachukua hamsini zangu.
 
Umeona eeh? Unajua imani haina tofauti na uchawi. Kama mtu akivalisha mwanae manyoya ya jogoo kiunoni anajiamini kuwa mwanae hadhuriki na anapata furaha muache afanye. Wewe ukibatiza ama kusomea dua wa kwako unapata amani inakusaidia kufanya mambo mengine
Toa tu my sister na Mungu atakubariki mara dufu. Hiyo sentensi ya mwusho nimeipenda sana. Siku hizi watu hawaishi kubishana..ooh sisi vile wale vile, sisi ndio kanisa la kweli wale waongo..! Sipendi kabisa kushabikia na kubishania imani..naacha aaminicho mwenzangu aendelee nami nachukua hamsini zangu.
 
Kuanzia leo naanza kusoma kitabu cha "KANISA LILIVYOCHANGIA UMASKINI KTK DUNIA YA TATU"
 
Wewe tahira yale maji hayauzwi, unanunua CDs ndio unapewa anointing water , halafu utajua gharama za Usafiri za ndege au ulivozoea kupakia mihogo kwenye daladala utajua na kwenye ndege ni free

Bora umenisaidia kujibu manaake niliona ban inanukia!
 
acha ubahali ambao hauna msingi
Ungeomba mchanganuo wa hyo pesa.
Navyojua mim hapo kuna gharama za kwaya,vyeti,mafundisho.
 
Za LEO HILI NI JUKWAA HURU KWA NINI NISIULIZE HAPA ! JE NI SHARIKA ZOTE ZINAFANYA HIVI ! NASISISTIZA MIMI NI MZEE WA KANISA SIO WA USHARIKA!
Ana kasoro kubwa sana. Nadhani ana uchafu ulokithiri na mchungaji anamshushia nondo kila wakionana
 
acha ubahali ambao hauna msingi
Ungeomba mchanganuo wa hyo pesa.
Navyojua mim hapo kuna gharama za kwaya,vyeti,mafundisho.
Du kwaya! yaani waipwe kwa kuhubir! Kama hunaukika kmya !
 
KYALOSANGI hiyo ndio gharama halali kwa malipo ya cheti cha ndoa(10,000/-tsh only). Hiyo tisini kanisa litakuwa limeamua kuwapiga. Which is sad...

Mchungaji ndio atakuwa kapiga
 
Last edited by a moderator:
Kwanza ni aibu saaana kwa wewe Mzee wa Kanisa kutokujua mambo kama haya. Kifupi umeshafeli katika hilo na ninavyowajua walutheri hauna hata miezi mitano tangu uchaguliwe si ajabu hata matangazo ya jumapili haujasoma hata mara moja. Unagopa kumpigia simu Mhunaji shame onu mzee wa kanisa!!!!

Mimi ni mzee wa kanisa mzoefu kwa kukusaidia hizi ni gharama za cheti cha ndoa.

Cheti cha ndoa lakini moja? go to hell!
 
Hata kuupeleka mwili wa marehemu ukaagiwe kanisani wanatoza Tsh 100,000(Laki Moja)Hii nimeiona Usharika wa Mamba Kotela...Inauma sana

Kweli Dini ni dili sana siku hizi, acha nikasomee uchungaji nije kufungua kanisa langu na mie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom