KKKT: kufungisha ndoa mnatoza 100,000/=!

Dini safi iliyobakia sasa hivi ni ile ya;
* Kutazama wagonjwa
* Kusaidia yatima na wajane
* Na kujilinda na dunia ili kutotenda dhambi
Hizi dini zingine sasa hivi hazina tofauti kabisa na chama chetu
 
Ndugu yangu Kyalosangi usiwe na jazba kama ulivyosema tuchangie bila jazba, wewe mpaka kufikia umri huo umeshatoa laki moja moja ngapi tena kwa mambo ya kawaida tu??. Hiyo laki moja mhasibu wa usharika husika atampatia risiti na mwanzoni mwa mwaka ujao wakaguzi wa nje toka makao makuu ya Dayosisi yetu pale Arusha wanakuja kukagua hesabu za huo usharika, na kama kutakuwa na tatizo hiyo itakuwa ni hoja mojawapo kwenye ukaguzi wao. Pia hiyo ni sadaka tu mkuu wangu. Suala la wewe ni mzee wa kanisa na mimi ni mzee wa usharika halioi majibu ya thread uliyoanzisha .
 
Ahsante , ni kweli ila unaonani halali kanisa kuweka kiasi hicho kwa kufunga ndoa! hiyo sio sadaka ni tozo ambaloa kanisa linaweka .Kwa taarifa yako Sh.100,000/= ni kiasi kikubwa sana cha pesa kwa baadhi ya Waumini na ni kiasi kidogo mno kwa baadhi ya waumini! Huu kama ni utaratibu ni utartibu mbovu na wakifisadi ! Waache watu waamue wanamshukuruje MUUNGU bila shurti! Hii ni Dayosiis ya Mashariki ,hivi Kijana wa Kibuta au Maneremango ambaye anategemea kilimo chakubagaiza naye ahtoa ! Nitakuwa a mwisho kushabikia dhuluma hii
Ndugu yangu Kyalosangi usiwe na jazba kama ulivyosema tuchangie bila jazba, wewe mpaka kufikia umri huo umeshatoa laki moja moja ngapi tena kwa mambo ya kawaida tu??. Hiyo laki moja mhasibu wa usharika husika atampatia risiti na mwanzoni mwa mwaka ujao wakaguzi wa nje toka makao makuu ya Dayosisi yetu pale Arusha wanakuja kukagua hesabu za huo usharika, na kama kutakuwa na tatizo hiyo itakuwa ni hoja mojawapo kwenye ukaguzi wao. Pia hiyo ni sadaka tu mkuu wangu. Suala la wewe ni mzee wa kanisa na mimi ni mzee wa usharika halioi majibu ya thread uliyoanzisha .
 
Kuna rafiki yangu mmoja ameamua kubariki ndoa ,hii ni baada ya kuishi katk ndoa ya Kimila kwa mwongo mmoja! Ila hasa na mashinikizo ya kidini kuwa ni lazima wafunge ndoa kanisani ili wakamilike kiroho! Sasa alipokwenda kanisani ndio kakumbana na hiyo hela kama sehemu ya masharti ! Ameogopa akajua anaibiwa! Ndio kanifuata mimi "mzee wa Kanisa " kuuliza hili ni tozo gani ! Ama kweli katika ufahamu wangu wa Kanuni za KKKT hii kwangu ni mpya ! Hebu mnijuze naogopa kumpigia mchungaji kuuliza !Kam ndiyo ilivo mh....!TAFADHALI TUCHANGIE KWA STAHA BILA JAZBA!
Mbona mhari tunatoa mamilioni? Kulipia huduma naona ni kitu cha kawaida
 
Hesabu za fasta fasta
1: Bajaj au Boda 5,000
2: Vinywaji 20,000
3: Room standard 30,000
4: Asante yake: 20,000
5: Usafiri wewe: 20,000
6: condom: 1,000
Total ni Tshs 96,000
Hili ni kadirio la chini sana, rudia hili zoezi mara mbili hadi Tatu kwa mwezi changanya na zile siku ambazo uko na rafiki zako, ndio utaamini kuwa laki si pesa, million deni
 
Kuna rafiki yangu mmoja ameamua kubariki ndoa ,hii ni baada ya kuishi katk ndoa ya Kimila kwa mwongo mmoja! Ila hasa na mashinikizo ya kidini kuwa ni lazima wafunge ndoa kanisani ili wakamilike kiroho! Sasa alipokwenda kanisani ndio kakumbana na hiyo hela kama sehemu ya masharti ! Ameogopa akajua anaibiwa! Ndio kanifuata mimi "mzee wa Kanisa " kuuliza hili ni tozo gani ! Ama kweli katika ufahamu wangu wa Kanuni za KKKT hii kwangu ni mpya ! Hebu mnijuze naogopa kumpigia mchungaji kuuliza !Kam ndiyo ilivo mh....!TAFADHALI TUCHANGIE KWA STAHA BILA JAZBA!
1. Nadhani ni muhimu kwa kanisa kutengeneza vyanzo vya kuingiza mapato. Maana kuna vitu vingi vinahitaji pesa ili kanisa liendelee kutenda kazi.
2. Nimeona mara nyingi watu tunakuwa na budget kubwa za harusi tuseme labda ya millioni 40. Asilimia kubwa hutumika kwenye vilevi na zawadi kwa wanaharusi. Wanapokwenda kanisani kufungishwa ndoa utakuta jumla ya sadaka iliyotolewa haizidi laki 1. Sasa hayo mapesa yote ya nini kama kanisa halikumbukwi. Kama watu hawaoni umuhimu wa kufunga ndoa kanisani si waende bomani. Ni heri waweke viwango fulani, maana hiyo ni huduma na watu hawako tayari kuchangia huduma ya ndoa.
 
Ni kweli mkuu na jamaa alidhamiria kutumia Sh.20,000 pekee katika hiyo ndoa yake ,,pete ,na cheti cha ndoa basi ! hatak sherehe wala mashabiki!
1. Nadhani ni muhimu kwa kanisa kutengeneza vyanzo vya kuingiza mapato. Maana kuna vitu vingi vinahitaji pesa ili kanisa liendelee kutenda kazi.
2. Nimeona mara nyingi watu tunakuwa na budget kubwa za harusi tuseme labda ya millioni 40. Asilimia kubwa hutumika kwenye vilevi na zawadi kwa wanaharusi. Wanapokwenda kanisani kufungishwa ndoa utakuta jumla ya sadaka iliyotolewa haizidi laki 1. Sasa hayo mapesa yote ya nini kama kanisa halikumbukwi. Kama watu hawaoni umuhimu wa kufunga ndoa kanisani si waende bomani. Ni heri waweke viwango fulani, maana hiyo ni huduma na watu hawako tayari kuchangia huduma ya ndoa.
 
Hata kuupeleka mwili wa marehemu ukaagiwe kanisani wanatoza Tsh 100,000(Laki Moja)Hii nimeiona Usharika wa Mamba Kotela...Inauma sana
 
Alipe tu dini yenyewe imekuwa Pesa mbele,,, kwani ile biashara ya maji dollar 60 toka Nigeria kwa jina anoited watera imeishia wapi?

Wewe tahira yale maji hayauzwi, unanunua CDs ndio unapewa anointing water , halafu utajua gharama za Usafiri za ndege au ulivozoea kupakia mihogo kwenye daladala utajua na kwenye ndege ni free
 
........Laki mzima? Anyway labda mtaji wa kanisa kupatia pesa through ndoa.
 
Bei ya cheti cha ndoa ni shilingi elfu kumi tu (10,000/=) kama ilivyo kwenye vyeti vya ndoa vya serikali (Bomani)
 
Kuna rafiki yangu mmoja ameamua kubariki ndoa ,hii ni baada ya kuishi katk ndoa ya Kimila kwa mwongo mmoja! Ila hasa na mashinikizo ya kidini kuwa ni lazima wafunge ndoa kanisani ili wakamilike kiroho! Sasa alipokwenda kanisani ndio kakumbana na hiyo hela kama sehemu ya masharti ! Ameogopa akajua anaibiwa! Ndio kanifuata mimi "mzee wa Kanisa " kuuliza hili ni tozo gani ! Ama kweli katika ufahamu wangu wa Kanuni za KKKT hii kwangu ni mpya ! Hebu mnijuze naogopa kumpigia mchungaji kuuliza !Kam ndiyo ilivo mh....!TAFADHALI TUCHANGIE KWA STAHA BILA JAZBA!

...Mkuu una nafasi kubwa ya kuhoji hili' katika mikutano ya Kanisani kwenu! na mkaweza kurekebisha pale penye utata! la sivyo utakuwa hutimizi wajibu wako!
 
Kuna makanisa yanagharamia ndoa na sherehe, labda watashugulikia na sherehe i.e ukumbi+kwaya+kukujazia watu+fungu la kumi+...
 
Ni kawaida mimi nilifungia ndoa anglikani tulilllipia cheti shilingi elfu hamsini. Mi sioni tatizo kama sherehe bajeti yake ni milioni 30 hadi 50 why not ukitoa laki moja ukachangia sadaka kanisani.
Kuna makanisa
yanagharamia ndoa na sherehe, labda watashugulikia na sherehe i.e
ukumbi+kwaya+kukujazia watu+fungu la kumi+...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom