BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Sielewi ni maadili yameisha ama nini kimetokea. Ni harusi ya saba J’mosi nahudhuria Binti amebakiza labda miezii miwili kujifungua.
Na J’mosi hii kuna harusi hope haitakuwa hivyo. Kila ndoa mwanamke yuko na ‘uncle’ tumboni.
Jamani si makanisa yalipinga hii mambo zamani? Nakumbuka pale Ubungo KKKT miaka hioo Mchungaji mmoja aligoma kabisa kufungisha ndoa baada ya kuona ‘uncle’ ANAKARIBIA KUJA.
Wazo:
Kwa mwendelezo huu nashauri makanisa yasiwe na vikwazo ili watu wafunge ndoa.
Pengine wengine wana hamu ya kuoana wanaogopa wachungaji watawakatalia ama kuwauliza sana maswali.
Mchungaji siku hizi kila ukoo unataka kutest kwanza msipokubali testing testing mtaishia kubariki ndoa milele makanisa yenu.
#FUNGUAAVIDEOUMSALIMUBWMUTTANAMKEWE
Hongeraaa hongereeni Bwanaa ....number ameshafanyaaaa
Na J’mosi hii kuna harusi hope haitakuwa hivyo. Kila ndoa mwanamke yuko na ‘uncle’ tumboni.
Jamani si makanisa yalipinga hii mambo zamani? Nakumbuka pale Ubungo KKKT miaka hioo Mchungaji mmoja aligoma kabisa kufungisha ndoa baada ya kuona ‘uncle’ ANAKARIBIA KUJA.
Wazo:
Kwa mwendelezo huu nashauri makanisa yasiwe na vikwazo ili watu wafunge ndoa.
Pengine wengine wana hamu ya kuoana wanaogopa wachungaji watawakatalia ama kuwauliza sana maswali.
Mchungaji siku hizi kila ukoo unataka kutest kwanza msipokubali testing testing mtaishia kubariki ndoa milele makanisa yenu.
#FUNGUAAVIDEOUMSALIMUBWMUTTANAMKEWE
Hongeraaa hongereeni Bwanaa ....number ameshafanyaaaa