- Thread starter
- #141
Kweli wewe ni conservative ! ninachosema mimi kuwa KANISA limekengeuka ibada kama hii haistahili kulipiwa kiwango hicho! Ni kweli kueneza injili si lelelmama lakini tupime na maeneo ya kutoza hela!
Hapo umenena!Viwango viko kutokana na dayosisi !Kwani lazima cathedral au makao makuu ya jimbo?Unataka sharika nyingine akafunge nan?Pia kuna sharika zina huduma ya mision nje ya mipaka ya dayosisi au nchi na zinabebwa na washarika!Msifikiri unapoeneza injili ni lelemama!La mwisho mjipime wenyewe mnaonekana kwenye ndoa na ubatizo na kipaimara vikao hamfiki.jimbo,dayosisi au makao makuu wanapoamu unalalamika!Ukikua wapi? Mwingine hajui hata makao makuu ya sinodi au dinari au dayosisi yake!