Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.
Wala wewe siyo mwanaccm kabisa huo ni ujanja ujanja tuu wa kurubuni watu kama mlivyozoea. Waliokuwa wanahesabu kura ni wanafunzi wa chuo na wala sii wewe. Na kama ni hivyo kama unavyodai iweje usilalamike kwenye vyombo husika vya vyama? YOU ARE NOT A GREAT THINKER. Wewe ni mtupatupa thread tuu.
tokea jana niliwaambia jamaa niliokuwa nao...... Haya matokeo yamechakachuliwa haiwezekani yakawa kama yalivyotangazwa....bado mengi yatafumuliwa..................mwanahalisi: Mambo yote yangekuwa hadharanibinafsi sishangazwi na hizo mbinu chafu za ccm na suala la kumuamini au kutokumuamini mleta mada sitaki kuhangaika nalo, lililokuwa lanipa mashaka ni mangula kushinda kwa 100% maana kwa jinsi ccm ilivyo sasa na misimamo ya mangula sio rahisi kukubaliwa na pande mbili zinazokinzana, maana tukisema kapata 100% ina maana watoa rushwa na wasiotoa rushwa wote wanamkubali kitu ambacho si kweli.
Hongera kwa kuona mwanga mzee tupatupa najua wapo wengi kama wewe ambao hawaamini mpaka washuhudie, mungu ni mkubwa ipo siku watajua na watakuwa tayari kujiunga na wanyonge wa nchi hii katika kuililia.*
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.
Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.
Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.
Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!
Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.
Hata baba mwenye family ya watu/ watoto nane kuna mmoja kati ya atamoinga tu, iweje kwa watu 2000+ then hakuna anaepinga? shame on you Magamba!
Mzee Tupatupa it mighty be true what you say
but how should i believe the source of information??
weka picha!!
Mzee Tupatupa hapo kwenye red umetupia. Ni vigumu kukuamimi!!
hivi mbona mnajiaibisha jamani,sasa uchaguzi wa CCM wewe unakuhusu nini,whether wameibiana kura ama la nyie inawahusu nini,fanyeni ya kwenu,mbona nyie mlituma wazee wakamuomba zito atoe jina la kugombea uenyekit hakuna aliesema neno,haaaa haaa haa haaaa mfyuuuuuuuuuuu
hivi wewe ukijinyea aibu ni ya nani?
very narrow thinking
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.
Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.
Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.
Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!
Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.
Haaaa haaaaa haaaaa,daaaa kweli propaganda zimeshawaishia so umeamua ujifanye wewe ndo ulikua una hesabu kura sio?haaaa haaaa haaa mbona tulihesabu kura za mnykt watu wa3 tu na mwanaume nlikua mwenyewe tu wewe ulikua wapi,haaaa haaa haaaa duuu umefeli i was there bana