Kila uchaguzi CCM hugalagazwa, mkiambiwa nyie ni wezi wa kura mnabisha haya sasa, bisheni tena
Bujibuji, Aliyezoe kuiba hakikosa cha kuiba anajibia vya kwake mwenyewe , kweli CCM kazi kweli kweli
Kila uchaguzi CCM hugalagazwa, mkiambiwa nyie ni wezi wa kura mnabisha haya sasa, bisheni tena
mbona nachekacheka ovyo? siyo unadhani kila mtu anataka akupige0713, wengine hatutumii...!hivi mbona mnajiaibisha jamani,sasa uchaguzi wa CCM wewe unakuhusu nini,whether wameibiana kura ama la nyie inawahusu nini,fanyeni ya kwenu,mbona nyie mlituma wazee wakamuomba zito atoe jina la kugombea uenyekit hakuna aliesema neno,haaaa haaa haa haaaa mfyuuuuuuuuuuu
Mtu mkubwa chamani kama mimi,najitoa kwa Press Conference.Nitawaanika vya kutosha wezi nyinyi.Namalizia kukusanya nyaraka muhimu
acha kujifurahisha wewe, huna upiganaji wowote. kama kweli wewe ni mpiganaji na huogopi chochote hebu anza kwanza kudisclose jina lako halisi. Hata baba yenu Slaa aliwahi kuahidi nchi haitatawalika eti mtaandamana hadi kieleweke. Mbona bado anatawala/
tokea jana niliwaambia jamaa niliokuwa nao...... Haya matokeo yamechakachuliwa haiwezekani yakawa kama yalivyotangazwa....bado mengi yatafumuliwa..................mwanahalisi: Mambo yote yangekuwa hadharani
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.
Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.
Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.
Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!
Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.
Na siku zote za mwizi huishia arobaini tuMtajua wenyewe magamba wizi ndo jadi yenu
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.
Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.
Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.
Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!
Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.
Binafsi sishangazwi na hizo mbinu chafu za ccm na suala la kumuamini au kutokumuamini mleta mada sitaki kuhangaika nalo, lililokuwa lanipa mashaka ni MANGULA kushinda kwa 100% maana kwa jinsi CCM ilivyo sasa na misimamo ya MANGULA sio rahisi kukubaliwa na pande mbili zinazokinzana, maana tukisema kapata 100% ina maana watoa rushwa na wasiotoa rushwa wote wanamkubali kitu ambacho si kweli.
Hongera kwa kuona mwanga mzee Tupatupa najua wapo wengi kama wewe ambao hawaamini mpaka washuhudie, MUNGU ni mkubwa ipo siku watajua na watakuwa tayari kujiunga na wanyonge wa NCHI hii katika kuililia.*
Binafsi sishangazwi na hizo mbinu chafu za ccm na suala la kumuamini au kutokumuamini mleta mada sitaki kuhangaika nalo, lililokuwa lanipa mashaka ni MANGULA kushinda kwa 100% maana kwa jinsi CCM ilivyo sasa na misimamo ya MANGULA sio rahisi kukubaliwa na pande mbili zinazokinzana, maana tukisema kapata 100% ina maana watoa rushwa na wasiotoa rushwa wote wanamkubali kitu ambacho si kweli.
Hongera kwa kuona mwanga mzee Tupatupa najua wapo wengi kama wewe ambao hawaamini mpaka washuhudie, MUNGU ni mkubwa ipo siku watajua na watakuwa tayari kujiunga na wanyonge wa NCHI hii katika kuililia.*