Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,837
- 285,029
Duh ! niko peke yangu lakini naona aibu !
weka picha!!
Mzee Tupatupa,
Huu uongo wako naona ni very advanced. Hapo chini ulipost bandiko lako ukijinadi kwamba wewe ni mamluki ndani ya CCM ukifanyia kazi mabosi wako wanaokulipa walio nje ya chama. Sasa leo umekuja unajidai ulikuwa mkereketwa wa chama kabla ya mkutano mkuu unajitoa kwa sababu za wizi wa kura loo! kweli njia ya muongo ni fupi tumekukamata.
Next time ukumbuke kwamba ukitaka kuwa mwongo uwe na kumbukumbu nzuri usichanganye madawa.Ona sasa mzee mzima ushaumbuka.
Uchaguzi wa CCM is AN ABSURD STUPIDITY, Halafu eti katika huo mkutano mkuu walikuwemo maprofessor (Sio akina Maji Marefu).
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.
Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.
Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.
Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!
Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.
Acha kutuzuga dogo. Kwani wakati Dr. Slaa analalamikia usalama wa taifa kuchakachua kura za uraisi 2010, wewe ulikuwa TLP?Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.
Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.
Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.
Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!
Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.
Penye red mkuu hii ni kali ccm nambari wani!!Uchaguzi wa CCM is AN ABSURD
STUPIDITY, Halafu eti katika huo mkutano mkuu walikuwemo maprofessor
(Sio akina Maji Marefu).
I bet my neck, hata leo Mbinguni Mwenyezi Mungu akiitisha uchaguzi, I'm
sure 100% hawezi kupata KURA ZA KISHINDO za 100% Kama Mangula na Shein,
unless kwa CCM Mangula na Shein kwao ni zaidi ya Mungu. BTW ndiyo maana
yule Malaika Mkuu LUCIFER alimuasi Mungu.
Hata mimi leo nikiitisha uchaguzi nyumbani kwangu KURA za SIRI in the
real sense ya SIRI siwezi kupata kura 100% that is a plain truth,
sembuse watu > 2,000.
Matokeo ya uchaguzi wa mkutano mkuu wa CCM is MOCKERY of democracy.
Cheyo aliwahi kulalamika kwamba CCM ni mabingwa wa kuiba kura, kwani
hata katika kituo alichopiga kura yeye (Cheyo) alipata kura 0 watu
wakamucheka. Lakini UKWELI ndiyo huo. CCM haijawahi kufanya uchaguzi wa
HURU NA HAKI.
weka picha!!
Duh hapo nimekubali yaishe,kumbe ndio mpango mzima wa magamba?lakini mzee tupatupa tumekuwa tukilalamika sana juu ya wizi wa kura lakini hamkutuelewa wala kutusikiliza,anyway nashukuru kama ni kweli tametokea hayo na umeyashuhudia basi chukua hatua stahiki za kuungana na makamanda kuikomboa nchi.
Kwa u great thinker wako unadhani tufanyeje?unataka kutuaminisha kwamba hao magamba wako tuwaache waendelee?Kuikomboa nchi au familia zenu? Hakuna kiongozi wa kweli kutoka CDM mwenye sura halisi ya kiukombozi ni genge la wasanii fulani wanaotafuta fedha kama wale madiwani wa Moshi waliojipangia safari ya mamilioni kwenda Rwanda eti Kujifunza.