KIZOTA-Chumbani kuhesabu kura

KIZOTA-Chumbani kuhesabu kura

recent CCM elections in dodoma is a complete mimicking
 
Kwa hapa JF,nimefika mwisho wa kujipambanua kwangu. Utaamua kuamini au kutoamini chanzo cha habari hii ambacho ni mimi mwenyewe.
Wewe acha uongo bana, sasa kama umeamua kuhama chama na huogopi tena basi kwanini usiweke jina lako? Mtu yeyote anaweza kujitokeza na kusema yeye alikuwemo kwenye kuhesabu kura.

Njaa zingine ni mbaya sana. Nenda kwa kundi la HAPANA ukapewe posho yako.
 
Wewe acha uongo bana, sasa kama umeamua kuhama chama na huogopi tena basi kwanini usiweke jina lako? Mtu yeyote anaweza kujitokeza na kusema yeye alikuwemo kwenye kuhesabu kura.

Njaa zingine ni mbaya sana. Nenda kwa kundi la HAPANA ukapewe posho yako.
Mtu mkubwa chamani kama mimi,najitoa kwa Press Conference.Nitawaanika vya kutosha wezi nyinyi.Namalizia kukusanya nyaraka muhimu
 
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.

Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.

Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.

Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!

Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.

Jamani....hii ni hatari lakini kichekesho pia!!

JK hana aibu namna hii!!! jana alikuwa anachekacheka huku akisema hata huyo mmoja alienikataa ......

Hii mbaya sana!!
 
Mtu mkubwa chamani kama mimi,najitoa kwa Press Conference.Nitawaanika vya kutosha wezi nyinyi.Namalizia kukusanya nyaraka muhimu
Sawa mkuu, tunasubiri hizo nyaraka muhimu, usisahau kumpelekea Slaa mwenye library ya nyaraka za siri.
 
kwa hali ya kawaida hata kama mtu anakubalika vipi ni vigumu sana kati ya wapiga kura 2000 wote wakuchague kwa sababu zifuatazo:-
1. watu 2000 hawawezi kuwa na akili na mawazo yanayofanana...(hapa siwezi kufafanua zaidi)
2. kuna wanaoharibu kura kwa makusudi (ajabu CCM hakuna hata kura 1 iliyoharibika)
NGUMU SANA KUAMINI...HAWA JAMAA WAMEISHIWA HATA MBINU ZA KUCHAKACHUA KWELI??????
 
Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai
wewe ni nani Bashe,lowasa,malisa au jiweke wazi si hauna tena muda wa kuogopa
 
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.

Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.

Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.

Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!

Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.



WANAFIKI,WAONGO,WAZUSHI UTAWAJUA TU,kwani leo hujala?
 
Mzee Tupatupa,

Huu uongo wako naona ni very advanced. Hapo chini ulipost bandiko lako ukijinadi kwamba wewe ni mamluki ndani ya CCM ukifanyia kazi mabosi wako wanaokulipa walio nje ya chama. Sasa leo umekuja unajidai ulikuwa mkereketwa wa chama kabla ya mkutano mkuu unajitoa kwa sababu za wizi wa kura loo! kweli njia ya muongo ni fupi tumekukamata.
Next time ukumbuke kwamba ukitaka kuwa mwongo uwe na kumbukumbu nzuri usichanganye madawa.Ona sasa mzee mzima ushaumbuka.


Baada ya mimi kuripoti humu JF jana kuwa CCM imeanza kujiandaa kwa Kampeni za Sumbawanga Mjini,jana kilifanyika kikao kingine. Nashukuru hawakunifahamu hivyo kutonitenga. Nikawepo tena kwenye Kikao cha pili cha dharura. Kikaoni,tukaanza kutemewa mkwara na 'Mwenyekiti' wa kikao ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.

' Tumepokea taarifa kuwa yupo mtu humu anaweka mipango yetu wazi kwenye mitandao. Tumeshamjua. Tunamuonya asirudie. Na leo tumemtenga rasmi kwenye vikao vyetu vya kimkakati. Hatahudhuria hadi atakapotubu' alitamba 'Mwenyekiti' huyo. Nusura nicheke. Kweli CCM ni waongo na waliojaa propaganda. Mbona mimi nipo?! nilijiuliza kimoyomoyo.

Eti, taarifa ikatolewa kuwa mipango ya awali ya kumteua Mwigulu na timu yake ya Kampeni na nini sijui imesitishwa. Imesitishwa kwakuwa imevuja. Ikaundwa Kamati Ndogo itakayoshughulikia kisirisiri mipango hiyo ya Sumbawanga Mjini. Nami pia nimo. Raha ilioje! Mwaka huu,hadi kieleweke. Nilifundishwa jeshini enzi hizo kuwa ukitaka kumjua adui vyema,jiunge naye kwa juhudi zako zote. Ndivyo nilivyofanya. CCM hawatapata pakutokea. .
 
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.

Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.

Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.

Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!

Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.

Hakika ukizoea kuiba utaiba hata vya kwako mwenyewe na hapo ndipo shida itaanza.
 
Election riging aka wizi wa kura ni sawa na KULA NYAMA YA MTU, CCM haiwezi kuacha kamwe.

Pamoja na Mapenzi yangu kwa Baba wa Taifa JK Nyerere na pia pamoja na kutoipenda CUF, lakini ukweli lazima usemwe to put the reckord in perspective.

Mwasisi wa wizi wa KURA Tanzania ni JK Nyerere, pale alipopora USHINDI wa CUF wa kiti cha Urais wa SMZ wa Maalim Seif (CUF) dhidi ya Komandoo Salmin Amour (CCM) 1995. Nyerere aliiamurisha ZEC ibadilishe matokeo ya URAIS wa ZNZ in favour of Salmin Amour (CCM).

Tangu wakati huo Nyerere alipowalisha CCM NYAMA YA MTU, CCM kamwe haitaacha kuendelea kula nyama ya mtu (read riging election).

Just imagine wakati Kenya wanataka general election Wakenya wapige kura electronically, Mkutano mkuu wa CCM bado wanapiga KURA za makaratasi?! Is it coincidency? NO ni mpango mkakati wa kuendelea ku-rig election.

Wakati Mawaziri wa Kenya wanasoma budget zao kwa Ipad, bado bunge letu la JMT linapiga kura za NDIYO na HAPANA (shouting). Why not introdunce electronically voting in the HOUSE. CCM hawataki kura za haki na huru.

Hii Nyama aliwaolisha Nyerere CCM hawataicha kamwe kabisa. Counts my words.
Watu wanaanza kuelewa kwa mbaaaali.
 
Uchaguzi wa CCM is AN ABSURD STUPIDITY, Halafu eti katika huo mkutano mkuu walikuwemo maprofessor (Sio akina Maji Marefu).

I bet my neck, hata leo Mbinguni Mwenyezi Mungu akiitisha uchaguzi, I'm sure 100% hawezi kupata KURA ZA KISHINDO za 100% Kama Mangula na Shein, unless kwa CCM Mangula na Shein kwao ni zaidi ya Mungu. BTW ndiyo maana yule Malaika Mkuu LUCIFER alimuasi Mungu.

Hata mimi leo nikiitisha uchaguzi nyumbani kwangu KURA za SIRI in the real sense ya SIRI siwezi kupata kura 100% that is a plain truth, sembuse watu > 2,000.

Matokeo ya uchaguzi wa mkutano mkuu wa CCM is MOCKERY of democracy.

Cheyo aliwahi kulalamika kwamba CCM ni mabingwa wa kuiba kura, kwani hata katika kituo alichopiga kura yeye (Cheyo) alipata kura 0 watu wakamucheka. Lakini UKWELI ndiyo huo. CCM haijawahi kufanya uchaguzi wa HURU NA HAKI.
 
Tatizo lenu watu wa CCM UNAFIKI na UZANDIKI vimewatawala,potelea mbali kama wange ku assassinate,wewe ungekata rufaa kama mhesabuji na kutangaza kujitoa kuliko kukimbilia huku kutujuza,tena ungeomba M/Kiti akulinde ili uweze kuongea kwani ukifa kwa maslahi ya wengi utakuwa umekufa shahidi.




Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura tukapigwa vikumbo. Tukaonekana hatufai.Wakati huo,tulikuwa tumeshahesabu nusu ya kura za Mwenyekiti baada ya zile za Makamu wa Mwenyekiti wa Bara na Visiwani.

Si kweli kuwa Dr.Shein na Mangula walipata kura zote. Dr.Shein alikataliwa na wapiga-kura 43 huku Mangula akikataliwa na 50. Hawa hawakushinda kwa asilimia 100. Kwa zile za Uenyekiti,mchuano wa 'NDIYO' na 'HAPANA' ulikuwa mkali. Hapo ndipo Ndugu Mackson Chizii alipotoka chumba cha kuhesabia kura na kwenda kusikojulikana.Aliporudi,akarudi na Usalama wa Taifa na Green Guard.

Jana,nimeamini kuwa kura zinazotangazwa sizo zilizopigwa hasa. Ndugu zangu,kwa umafia tuliofanyiwa jana,itakuwa ngumu kwa upinzani kushinda Urais wa nchi hii kama wachache watakwenda sirini kuhesabu kura kisha kuzitangaza. Amini nawaambia,kura huibwa.Matokeo hugeuzwa.Na sisi CCM ndio mchezo wetu.Hatutaachia kirahisi ushindi kwa mwingine.

Iko haja kwa mfumo wa kuhesabu kura kurekebishwa.Ikiwezekana,na mgombea naye awepo pamoja na Wakala wake. Ni jana tu,JK alibadilishiwa matokeo ili ionekane ameshinda kwa asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo tayari kujiunga na upinzani ili tuikomboe nchi hii.Sijiungi kwakuwa namchukia JK,najiunga kwa kuchukia uibaji wa kura ambao unakandamiza demokrasia nchini.Tunaongozwa na tusiowachagua na tunachagua wasiotuongoza.Ni hatari!

Chanzo: Mimi mwenyewe niliyekuwa chumba cha kuhesabia kura Kizota chini ya uangalizi wa Spika Anne Semamba Makinda. Sina muda tena wa kuogopa. Hawa watu hawafai.
 
Iko haja kwa mfumo wa
kuhesabu kura
kurekebishwa.Ikiwezekana,na
mgombea naye awepo pamoja
na Wakala wake. Ni jana tu,JK
alibadilishiwa matokeo ili
ionekane ameshinda kwa
asilimia 99.2. Kuanzia jana,nipo
tayari kujiunga na upinzani ili
tuikomboe nchi hii.Sijiungi
kwakuwa namchukia
JK,najiunga kwa kuchukia uibaji
wa kura ambao unakandamiza
demokrasia
nchini.Tunaongozwa na
tusiowachagua na tunachagua
wasiotuongoza.Ni hatari!
Chanzo: Mimi mwenyewe
niliyekuwa chumba cha
kuhesabia kura Kizota chini ya
uangalizi wa Spika Anne
Semamba Makinda. Sina muda
tena wa kuogopa. Hawa watu
hawafai.

Hapo kwenye rangi ya blue kuna tatizo, inatia mashaka kama ulikuwepo Makinda alitangaza ushndi wa jk ni asiliama 99.92
 
Back
Top Bottom