Singo Batan
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 292
- 191
Nchi Tajiri zaidi Afrika Mashariki inafanya Uchaguzi kwa mifumo ya kisasa kabisa.
Je, Nchi nyingine Afrika Mashariki zinaweza kuiga matumizi ya mifumo hiyo?
Nini maoni yako kuhusu matumizi ya vifaa vya kielektroniki kubaini taarifa za wapiga kura wakati wa upigaji wa kura, kuhesabu na kutangaza matokeo?
Je, Nchi nyingine Afrika Mashariki zinaweza kuiga matumizi ya mifumo hiyo?
Nini maoni yako kuhusu matumizi ya vifaa vya kielektroniki kubaini taarifa za wapiga kura wakati wa upigaji wa kura, kuhesabu na kutangaza matokeo?