jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
maudhi yanayoendelea hapa nchini kwa kiasi kikubwa yanafanywa au yamefanywa na wazee wetu ambao walipitia JKT.inashangaza kuona hawa wazee wenzangu wakilaumu vijana ati hawajapita jkt.walioko madarakani,watendaji serikalini na wapiga kura wazee ni mifano ya kizazi cha jkt.