Kizaazaa chooni... Kile cha toilet

Kizaazaa chooni... Kile cha toilet

Hasara tupu... Nyama labda ndio faida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inakaribia kuivaaa
IMG_20180401_105347.jpg
 
Imeniuma sana
Vurugu yote hiyo ya nini mpaka kumuuwa hivyo?
Mbona alikuwa wa kukamatwa tu bila madhara aagh nimekasirika kwa kweli.

Next time mniite sawa
 
Imeniuma sana
Vurugu yote hiyo ya nini mpaka kumuuwa hivyo?
Mbona alikuwa wa kukamatwa tu bila madhara aagh nimekasirika kwa kweli.

Next time mniite sawa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Imeniuma sana
Vurugu yote hiyo ya nini mpaka kumuuwa hivyo?
Mbona alikuwa wa kukamatwa tu bila madhara aagh nimekasirika kwa kweli.

Next time mniite sawa
Hapo ni katika harakati ya mheshimiwa Mshana Jr kuhakikishia Demiss kwamba yeye kweli ndio ni yule Samson kwenye bibilia. Kidogo abomoe nyumba. [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom