Kizaazaa chooni... Kile cha toilet

Kizaazaa chooni... Kile cha toilet

Mshana njoo utusaidie kuwaroga police na wanajeshi tuanadamane vizuri
Wametuletea misambwanda ili tusiandamwane
IMG-20180425-WA0097.jpg
 
Wamevunja choo bure tu...hapo mnafunika choo vzr halaf mnaflash maji yamoto tu mnamkuta kaiva huyo
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Hii ni hatari sana,na hii sidhani kama inakwepeka maana wengi hatuna muda wa kukagua mabomba yetu ya choo au septic tanks kama zina matundu,cha muhimu ni kujiandaa kisaikolojia...
 
Back
Top Bottom