Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

Mwingine yuko Dubai saiv na mke wake wa gelesha kumbe ye ndo mke...

anajiita "Bi. Jazeni" ila jina lake ni "mwanahamis Mangi"

sishuhuliki nao hao.
Niko na shost angu, anae pigania kulamba asali.

Huenda na mie ntakua naendesha v8 siku za weekend. Aririiiiiiiiiii.
 
Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Muulize yeye atakujibu. Na ukijua itakusaidia au kutusaidia nini?
 
Wanaume wanawajadili wanaume wenzao ambao maisha kidogo yamenyooka, vijana tafuteni pesa sio kila mnaemuona akipanda ndege kama daladala ni shoga.. wenzenu wanapambana ooh nyie endeleeni kushinda JF na kupanda mwendokasi... kua na degree au diploma ni makaratasi tu wakati uko choka mbaya.. life is not fair
 
Yule janja janja tuu na ka elimu kidogo ka uandishi habari basi sema utangazaji wa mpira na uchambuzi ndio unambeba
Jana nimemsikia kwenye kipindi anaboronga kutamka hata civics hawezi
Na amepambana na kufanikiwa mpaka wewe, mwenye uprofesa, unamfuatilia huku njaa ikikuuma hadi unatokwa na 'kipwenene'!
 
Inawezekana ana elimu ndogo sana, jiulize wewe degree yako imekusaidia nini? Maisha sio vidato vya darasani tu, shule ni sehemu ndogo ya maisha.
 
Back
Top Bottom