kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 8,625
- 12,168
Usikute ni mbwembwe tu!!
Hakika fukuza wote! Zembwelaa, Babalevo, kipanya etcMatapeli wamewezwa 😂
Ya Theology ni msomiNauliza kaswali " hivi mwenye PhD katika dini nae ni msomi?".
cape town ya USA river ArushaBA in Media Studies (University of Cape Town)
Mataka huyo. Nasikia aliwafi.. sana wauza tai.Mzee wa kununua tai
Ukisema wewe nani mwingine akubishie labda King Kong IIISasa hili nalo jipyaa mjini?
Nani hajui khanga ni mwanaume wa Magomeni?
![]()
Kwangu mimi kama mimi nitakuwa wa mwisho kuamini kama Kitenge(Kanga) ni Boflo , Mchicha Mwiba , Mkasi , Wali nazi , Ngapulila , Washeli .Ukisema wewe nani mwingine akubishie labda King Kong III
Ngoja nimwite mtaalamu wa hayo mambo cocastic aje atoe ushahidiKwangu mimi kama mimi nitakuwa wa mwisho kuamini kama Kitenge(Kanga) ni Boflo , Mchicha Mwiba , Mkasi , Wali nazi , Ngapulila , Washeli .
Jamaa ana wake wanne na mimi namjua demu wake mmoja alikuwa daily lazima aje kumuona wakati huo ananyoa kiduku nywele bado zipo kabla hajaanza kuwa na "UWALAZA".
Kwa mazoezi anayofanya kukimbia 21km daily kama mtu ni BOFLO asingeweza.
We ME au KE? mana co kwa umbea uo aise!!.Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Kachukua MAFAO kwa mke mdogo Mbunge majuzi so hatapigika sanaNguvu zake za kuoa angejikita kwenye kuongeza elimu angekuwa mbali