Hawa wasiotumia mmea huwa wanafikiria kinyumenyume! Kila watu ktk level yao kuna group kubwa LA watumiaji, kuanzia kitaa, shule ya msingi, sec, vyuoni, makazini wabunge baraza LA mawaziri na hata akina Obama, Anko magu labda awe ameacha miaka hii miwili, lakini kipindi kile yupo site alikuwa anapiga mmea, na hakuna sehemu ambayo ukihitaji mmea ukakosa, ma bimkubwa wengi wanatumia na huwezi jua, utaona tu wako romantic! kama ni mtumiaji utakubaliana na Mimi, mfno mdogo tu, ukiwa lock up ukihitaji bange unapata na unavuta! Usifikirie kbsa eti ukiwa pale magogoni bange haipatikani!
Siku moja nilipata tatzo kwenye gari nikaenda mtaa Wa Kongo mida ya sit a mchana, baada ya kumaliza tatzo nilipata bange pale na nilivuta, kiufupi hii bidhaa IPO everywhere na watumiaji wapo kila mahali. Hapa MTU anapinga, lakini uskute MTU wake Wa karibu KBS anatumia na yeye hajui"
Wasiotumia wanafiria kinyumenyume!