LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,338
- 6,427
mkuu hoja ni kwamba mficha uchi hazai, ila kutokana na kampani utakayokuwa nayo itafika siku malezi yatakushinda kutokana na kuwa mkuza mmea kichwani. naongea kutokana na uzoefu.Hao ni wale ambao hawafanyi kazi, muda wote maskani
hii post imenionesha how your brain is smart 