Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

bb7af30f-6b0d-4a50-b3d3-a6903ba0c94d.jpeg
 
Hao watu ni vigeugeu ndugu yangu unamnunulia gari la mamilly lakin atavuliwa pichu na aliye muekea mafuta ya f20. Utampa laki ya matumizi lakin atasokonorwa na aliye mwambia umependeza mara tatu. Hao viumbe wewe leta ukibahatika mmepata vitoto hata viwili shukuru sir god sana lea watoto maisha yasonge.
Ila watu mna machunguu🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Back
Top Bottom