mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 22,582
- 45,191
Unapaogopa kabla haujaingia, ukishaingia labour utapaona pa kawaida kama ilivyokuwa kwa wanawake wengine, "kwa mujibu wa maelezo yao".mimi labour tuuu huku kwingine nakumuduš¤ maana huko ndo kuna vilio