Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

Huu mfano umetosha kwa huu mwaka mkuu, hebu tafuteni mwingine hata unamnunulia kibanda anawapa wauza nyanya or whatever! Hii ya gari imetosha sasa.. asante!
sawa ngoja nikipata wa kufungulia kibanda ahonge ntaleta mrejesho my dear
 
aiiii nikikukuta wewe hata sitohangaika kukuonea aibu, ila nitahakikisha wew ndo unaanza kuona aibu kunitizama😂
😁😁😁 utajiachiaa tuuu, ila uzuri siku hizi kuna upasuaji wa kisasa ndio wanawake siki hizo wana prefer hiyo njia japo lazima usaule viwalo.. tuone tamu tamuuu
 
eti tam tam😂😂 zee jinga sana,,,

mi lazima nisukume siwezi kupasuliwa labda itokee bahati mbaya
😁😁 kusukumaa eeeh, maisha sio vita ujue kama una ndoto ya kutoa watoto sita sawa sukuma sukuma inakuhusu ila kama katoto kawili au tutatu unakula tu ka kisu,

siku hizi visu sio kama enzi za mwalimu, Kupush ni kasheshe na ushuzi juuu , mpewe maua yenu kakweli
 
😁😁 kusukumaa eeeh, maisha sio vita ujue kama una ndoto ya kutoa watoto sita sawa sukuma sukuma inakuhusu ila kama katoto kawili au tutatu unakula tu ka kisu,

siku hizi visu sio kama enzi za mwalimu, Kupush ni kasheshe na ushuzi juuu , mpewe maua yenu kakweli
eti ushuzi juu😂😂😂 ku push nimeshaambiwa sio kazi bwana ila ni maneno ya watu waoga tu

kwa niaba ya Ke wenzangu itoshe kusema asante sana,, sindikiza hayo maua na ka kitu basi tajeeeeeer😋😜
 
eti ushuzi juu😂😂😂 ku push nimeshaambiwa sio kazi bwana ila ni maneno ya watu waoga tu

kwa niaba ya Ke wenzangu itoshe kusema asante sana,, sindikiza hayo maua na ka kitu basi tajeeeeeer😋😜
😁😁😁 Tuma account ya bank baroda nikuhamishie samaki anaepaa na upajaa wa meee..

Siku unapush nitakuwa wodini kama Dr. wa zamu.. ujipangee
 
saiv kuna watu wa delivery 24/7 nafanya kukutumia location tu bouss kubwa

bby wangu kanambia atanipeleka nje hataki nipigwe mabao

Nimechekaa, kuna mtu nilimzoesha delivery ikawa matatizoo mazito kila kitu nifanyie delivery , watoto wa kike mnadeka sana 😁😁

Babi kama babii tuma current location sasa
 
Nimechekaa, kuna mtu nilimzoesha delivery ikawa matatizoo mazito kila kitu nifanyie delivery , watoto wa kike mnadeka sana 😁😁

Babi kama babii tuma current location sasa
kudeka lazima aseee sa saivi mi nianze kuhangaika barabarani natafuta nini wakati vitu vimerahisishwa👌 mwishoe nibakwe bure 😅😅😅

nishatuma kwenye ile ya kijani kacheki 🤗
 
kudeka lazima aseee sa saivi mi nianze kuhangaika barabarani natafuta nini wakati vitu vimerahisishwa👌 mwishoe nibakwe bure 😅😅😅

nishatuma kwenye ile ya kijani kacheki 🤗
😁😁 wewe na bebi wako kwenye penzi jipya
Screenshot_20260514-222334.png


Nimeipata location, uzuri jamaa hawachelewi chap ujiependelee mwenyewe 😁😁.
 
Back
Top Bottom