Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

Attachments

  • FB_IMG_1770016299806.jpg
    FB_IMG_1770016299806.jpg
    19.2 KB · Views: 18
Toa muongozo
Naimani sio ngumu.. maana dogo katoka shule ndio kapewa cm. Ila sasa naona kama kawa pro😀
Ukifika nyumban utamwambia kuna mtu anataka kucheza nae


Kuhusu muongozi ni gemu tuu kuliweka kwenye simu...


Pia ningependa kujua kama ulishawai cheza game lolote la mpira before ili nijue level yako ni ipi
 
Ukifika nyumban utamwambia kuna mtu anataka kucheza nae


Kuhusu muongozi ni gemu tuu kuliweka kwenye simu...


Pia ningependa kujua kama ulishawai cheza game lolote la mpira before ili nijue level yako ni ipi
Nisharudi kwangu, ye nimemuacha kwetu

Level yangu 0
Nachezaga candy crush tu mie 😀😀
 
Sijui nilisahauje hili swala😃😃😃


Aah basi sawaaa hiyo hiyo knowledge ya kuwaangalia The Mandem Fc itatosh...


Jiandae kushusha hizo Gb mbili sasa tuanze kazi
Nawapenda thana
Najua iko siku watarudi msitarini
😀😀

Ehee niambie sahvi nile Mb za mwajiri
 
Back
Top Bottom