Mbilima yimo
Member
- Sep 14, 2020
- 51
- 150
Mwongo wewe umejuaje kuwa hao ni mawakala wa vyama Hivyo, mbona hawana utambulisho wowote ktk vituo vingi?Kituo kama icho kipo hapa nilipopigia kura mimi,Mbagala kata ya kimbangulile,kituo cha mlimani B,na A akuna wakala wa Chadema wala ACT.kuna wakala wa CUF,CCM,ADC na Chauma Ubwabwa. View attachment 1614467