Humjui mleta mada! Huyo ndio chadema sasa, wewe ndio utakuwa hanith maana mkiambiwa ukweli mnKimbilia matusiAcha propaganda, wewe ni mtu wa CCM unataka kuwakatisha watu tamaa. Hanithi wewe
Mtendaji wa kata kaja kukagua asubuhi pamoja na msimamizi mkuu wa uchaguzi wa ili eneo,ndo akawa anawauliza wakala mmoja mmoja jina lake,chama chake na form zao za kuapishwa.Mwongo wewe umejuaje kuwa hao ni mawakala wa vyama Hivyo, mbona hawana utambulisho wowote ktk vituo vingi?
Ungekitaja hicho kituo ili kimulikwe kipekee! Vinginevyo itaonekana ni majungu tu!
Wewe nimuongo unataka kuwaudhi watu iliwatu watu wasiende nakuipigia kura chadema tupo vizuri nauushindi unakujaUngekitaja hicho kituo ili kimulikwe kipekee! Vinginevyo itaonekana ni majungu tu!
Tulia dawa iingie vizuri. Ndio mjue hakuna kuvuna bila kupanda. Chama ccm kimesukwa vibaya mno, tangu mizizi mpaka matunda. Msione vyaelea, vyaundwa.
Labda wamechelewa hata mimi nilipoenda kuna viti kadhaa vilikua havina watu vikaja vi dem vina makalio kwa kweli nimevipenda wako vizuri sana ,, turudi kwenye mada hao mademu ndo walikuwa mawakala ila wakati wanaulizwa mmoja akasema wa CCM nikaona ni sawa tu tena hapo amewahi angekuja hata sa kumi freshKituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT Wazalendo
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Kwanini Lisu siku zile amefungiwa kufanya kampeni siku saba hakutumia muda huo kufanya organisation ya mawakala nchi nzima badala ya kuutumia kwenda kununua nyanya kariakoo?Hata Mimi kituo nilichopiga hakuna wakala wa Cdm. Walikuepo wa Ccm na Cuf, nimeondoka pale nimekata tamaa kabisa . Halafu ni kituo cha mjini huwezi kusingizia usafiri mbovu
Lisu muda ule amezuiwa kufanya kampeni angeutumia kuwa organise mawakala wake angalau mijini badala yake yeye akautumia kwenda kununua nyanya kariakoo.Tulia dawa iingie vizuri. Ndio mjue hakuna kuvuna bila kupanda. Chama ccm kimesukwa vibaya mno, tangu mizizi mpaka matunda. Msione vyaelea, vyaundwa.
Mawakala wapo twitter! Si unaona wanalilia mitandao ifunguliwe?
Ruzuku ale nani?! Wakala atatumalizia posho bure, tukimaliza tunalalamika tumeibiwa kura kazi imeisha! Halafu bila aibu unasema ukabidhiwe Nchi wakati kituo kimoja cha kupiga kura kimekushinda! Tusifanye majaribio ya kuweka Nchi rehani. Tano,tena kwa JPM kazi iendelee!Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT Wazalendo
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Taarifa yako ya swali haijakamilika mkuuNitakitaja ikihitajika.
Bora ungekaa kimya tu, hii nchi ilipofika inahitaji badala!Acha majungu yasiyo na maana, hebu taja hicho kituo tuone uongo wako
Watakula jeuri yao!Huku Jimbo la kawe hakuna mawakala wa Chadema na wachache waliokuja hawana barua za utambulisho
Kwa hiyo unataka kushauri Nini..achana nao manyumbu hao..wameshafanya kitu gani Cha kusaidia nchi yetu mpaka sasa tangu waanze vyama vingi 1992..mabilioni ya ruzuku hayafanyi lolote la maana wanapeleka mifukoni tu..na wewe bado unaendeshwa Kama gari bovuKituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT Wazalendo
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Chadema hawajuaniUngeangalia historia ya mleta mada hapa jf utajiona mjinga sana.
Kumbe chadema hata wenyewe kwa wenyewe mkiambizana ukweli mnataukanana?
Hata Mimi kituo nilichopiga hakuna wakala wa Cdm. Walikuepo wa Ccm na Cuf, nimeondoka pale nimekata tamaa kabisa . Halafu ni kituo cha mjini huwezi kusingizia usafiri mbovu
Inakatisha tamaa sana.View attachment 1614530