Uchaguzi 2020 Kituo nilipopiga kura hakuna wakala wa CHADEMA wala ACT-Wazalendo

Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT Wazalendo

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Halafu wanawahamsisha watu walinde kura
unalinda kura za nini wakati hata wakala umeshindwa kuweka
 
watapata tabu sana.wao kila siku wapo mahakamani wakijifanya ni wabunge wa Tanzania nzima.upinzani wakipata wabunge 20 mm nitaihama nchi nitaamia Somalia nikalipuliwe na mabomu
hili swala la mawakala halina wa kumlaum watu wanataka mabadilko bila kua na uzalendo ukiwa unatafuta mawakala utasikia hao hao wanaosema wanataka mabadilko watakuambia wanataka 25000 per day wakikuhurumia watakwambia 20 sasa kwa akil ya kawaida jimbo zima unatakiwa kua na mawakala wangapi na kwa uchumi huu wa sasa s kuuziana nyumba uko?

kila kituo mawakala 4 au 3
3*105= 315 hio n jumla ya mawakala
315*20000=6,300,000
kwakweli MUNGU asipolinda nyumba yako wakeshao wafanya kaz bure.. Mungu atalinda izo kura
 
Ungekitaja hicho kituo ili kimulikwe kipekee! Vinginevyo itaonekana ni majungu tu!

Kituo cha Kikwakwaru ‘A’, kata ya Lemara, jijini Arusha, nimesikia kwa masikio yangu mmoja wa wasimamizi akimyelekeza mmoja wa wasimamizi ‘mkunja ballot’, kuwa nawakala wa ACT wasiruhusiwe kuingia, eti hawakutimiza maahartu ya viapo. Figusu za NECCCM balaa tupu!
 
Kwa hyo akimfil...... Mkeo ni sawa .maana unalazimisha mawazo yake yawe Kama yako.kila mtu anachagua akipendacho.kwa hyo ukipenda kumpiga tigo mkeo na cc tuwapige tigo wake zetu.jitafakali
 
Mimi nimeenda kupiga kura ndani mimekuta watu wa tatu tu mmoja anasoma namba na mwingine anaandika na mwingine anakupa karatasi za kupigia kura. Nimeshindwa kuelewa pale yupi ni wakala wa chama na yupi ni mtu wa tume ya uchaguzi.
Wewe unashangaa hapo, nenda vijijini ndio utashangaa hakuna cha wakala wala mwakilishi.

Halafu mjinga mmoja aje aseme tumeibiwa kura.
 
Kituo cha Kikwakwaru ‘A’, kata ya Lemara, jijini Arusha, nimesikia kwa masikio yangu mmoja wa wasimamizi akimyelekeza mmoja wa wasimamizi ‘mkunja ballot’, kuwa nawakala wa ACT wasiruhusiwe kuingia, eti hawakutimiza maahartu ya viapo. Figusu za NECCCM balaa tupu!
Sasa ikiwa ni kweli hawakidhi vigezo wanaruhusiwaje kuingia?

Wakati CCM ikifundisha mawakala wake nyie mlikuwa bize mkibeza maendeleo ya vitu na kutukana Magufuli. Subirini dawa iwaingie
 
Hata Mimi kituo nilichopiga hakuna wakala wa Cdm. Walikuepo wa Ccm na Cuf, nimeondoka pale nimekata tamaa kabisa . Halafu ni kituo cha mjini huwezi kusingizia usafiri mbovu
Jaduong nilikuambia mapema kuwa Mbowe ndio amehujumu chama chenj kishindwe. Kitendo cha kutafuna ruzuku na michango kwa ajili ya uchaguzi ni kosa kubwa sana.
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT-Wazalendo

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Walizuiliwa kuingia ndani na hicho kituo ndiko tulikopitishia yake masanduku ya kura hewa!
 
Kukata tamaa ni dalili ya udhaifu.

Ikiwa Lissu akukata tamaa na kupambana kufikia hatua aliyofika wewe kutoowaona mawakala imekata tamaa?
Nadhani wewe hukusoma reaction mechanism. Why? The slowest step inna reaction is the rate determining step. Likewise katika mlolonhonwote was uchaguzi, the WINNING DETERMINING STEP IS THE PRESENCE OF POLLING AGENTS. Katika mazingura ya Magufuli, ya udikiteita these are the determinant factors in our elections
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT-Wazalendo

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Acha uzwazwa ni sheria gani imesema kwamba wakala wa chama asipokuwepo kwenye kituo cha kupigia kura, basi zoezi la kupiga kura lisiendelee?
 
Mimi nimeenda kupiga kura ndani mimekuta watu wa tatu tu mmoja anasoma namba na mwingine anaandika na mwingine anakupa karatasi za kupigia kura. Nimeshindwa kuelewa pale yupi ni wakala wa chama na yupi ni mtu wa tume ya uchaguzi.
Zwazwa mwingine huyu, nendeni mkafuatailie vizuri sheria, acheni ulofa
 
Back
Top Bottom