Uchaguzi 2020 Kituo nilipopiga kura hakuna wakala wa CHADEMA wala ACT-Wazalendo

Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.


Cha msingi mzee asituzingue, tushamwambia tunamuongezea mda sasa asituambie chochote
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Wabongo mnapenda sana lawama za kisenge, wewe ulishindwa nini kwenda kuomba kufanya kazi ya uwakala kwa siku ya leo ?
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Hebu acha uzushi wewe! Wewe ulikwenda kupigia kura au kuchokonoa yasiyokuhusu!?
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.

Sad.
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Chadema wanamawakala wengi sana twita! Hawafanyi yamsingi mishipa ya shingo imeshupaa eti mitandao imezimwa! Na mwaka huu watapata aibu ya mwaka!
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Nadhani ulisikia figisu zilizokuwa zinaendelea kwa ma DED. Walizuia mawakala wengi sana kuapishwa. Ni maandalizi ya bao la mkono
 
Mimi nimeshuhudia kabisa Mgombea udiwani wa CCM akiingia ndani ya chumba cha kupigia kura na hakuna waliomzuia na Askari alikuwepo

Je hii ni Haki? Ni Halali?
 
Chadema wanamawakala wengi sana twita! Hawafanyi yamsingi mishipa ya shingo imeshupaa eti mitandao imezimwa! Na mwaka huu watapata aibu ya mwaka!
Nilishawaambia humu litakaloongea ni box la kura sio porojo za Twitter....Magufuli anaenda kuwafundisha somo zuri leo.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Lakini mbona lissu alisema kama kituo hakina wakala wa chadema, hicho kituo kisipigwe kura. Vipi kamanda mbona tunaliacha hilo?
Nadhani ulisikia figisu zilizokuwa zinaendelea kwa ma DED. Walizuia mawakala wengi sana kuapishwa. Ni maandalizi ya bao la mkono
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Wap hko tena
 
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.

Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.

CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.

Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Figisu ni nyingi Sana. Jana usiku mawakala wamekamatwa sana
 
Back
Top Bottom