stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Cha msingi mzee asituzingue, tushamwambia tunamuongezea mda sasa asituambie chochote