Mbona mimi jana nimeweka mafuta full tank hapohapo kituo cha oil com buguruni na nimepewa risiti na sio mara moja kila mara naweka hapo maana mimi naishi karibu hapo risiti wanatoa sana tu labda wewe una.Asalaam Alyekum,
Tumsifu Yesu Kristo wanajamvi,
Leo nimeona bora nawajulishe wanajamvi pia TRA kupitia hizi kurasa zetu pendwa za JamiiForums ya kwamba kituo cha mafuta cha Oil Com kilichopo Buguruni Malapa jiji Dar-es-Salaam hawatoi risiti pindi unapoenda kununua mafuta, kisingizio chao kikubwa ni kuwa machine zimeharibika.
Sasa taarifa kwenu TRA, wamulikeni hawa Oil Com maana miezi miwili nyuma nililiona hili nikaona sio kesi ila wiki jana nikapewa tena taarifa hiyo hiyo kuwa machine za risiti ni mbovu.
TRA, ni kweli mnakaa miezi miwili bila kwenda kutengeneza zile machine za risiti?
Usiku mwema wapendwa.
Nimecheka sana baada ya kusoma salamu uliyoitumia, nikakumbuka ule uzi wa Wanadini na roho mbaya!!! Sijui hata kwann nimeread between the linesAsalaam Alyekum,
Tumsifu Yesu Kristo wanajamvi,
Leo nimeona bora nawajulishe wanajamvi pia TRA kupitia hizi kurasa zetu pendwa za JamiiForums ya kwamba kituo cha mafuta cha Oil Com kilichopo Buguruni Malapa jiji Dar-es-Salaam hawatoi risiti pindi unapoenda kununua mafuta, kisingizio chao kikubwa ni kuwa machine zimeharibika.
Sasa taarifa kwenu TRA, wamulikeni hawa Oil Com maana miezi miwili nyuma nililiona hili nikaona sio kesi ila wiki jana nikapewa tena taarifa hiyo hiyo kuwa machine za risiti ni mbovu.
TRA, ni kweli mnakaa miezi miwili bila kwenda kutengeneza zile machine za risiti?
Usiku mwema wapendwa.
Una kichaa, wakitoa risiti ndio maisha ya nyumbani kwako yanabadilika. Wahaya mbona mnazidi kuwa hovyo! Ua wewe ni ndugu na bashiru!Asalaam Alyekum,
Tumsifu Yesu Kristo wanajamvi,
Leo nimeona bora nawajulishe wanajamvi pia TRA kupitia hizi kurasa zetu pendwa za JamiiForums ya kwamba kituo cha mafuta cha Oil Com kilichopo Buguruni Malapa jiji Dar-es-Salaam hawatoi risiti pindi unapoenda kununua mafuta, kisingizio chao kikubwa ni kuwa machine zimeharibika.
Sasa taarifa kwenu TRA, wamulikeni hawa Oil Com maana miezi miwili nyuma nililiona hili nikaona sio kesi ila wiki jana nikapewa tena taarifa hiyo hiyo kuwa machine za risiti ni mbovu.
TRA, ni kweli mnakaa miezi miwili bila kwenda kutengeneza zile machine za risiti?
Usiku mwema wapendwa.
Na kuwanunua wapinzani pia,hilo usilisahau.Hongera kwa uzalendo. Hizo kodi wanazokwepa zingesaidia hata kununua panadol.
Sasa anatakiwa awaombe radhi OIL COM na abadili hapo juu sababu mafuta kaweka LAKE OIL shutma wameshushiwa Oil com....Kituo kilichopo Buguruni Malapa kinaitwa Lake Oil..hivi mtu na akili zako timamu unaenda vipi kujaza mafuta kwenye kituo kinachouza mafuta bei ya chini? Yani ukijaza hapo 25 litres utatembea kilomita chache sana tofsuti na ukijaza 25 Litres kwenye vituo vingine
Lakini mbona pengine pengii ni 0 VAT au shida ni risiti ya mashineKodi zinajenga flyover
Asalaam Alyekum,
Tumsifu Yesu Kristo wanajamvi,
Leo nimeona bora nawajulishe wanajamvi pia TRA kupitia hizi kurasa zetu pendwa za JamiiForums ya kwamba kituo cha mafuta cha Lake oil kilichopo Buguruni Malapa jiji Dar-es-Salaam hawatoi risiti pindi unapoenda kununua mafuta, kisingizio chao kikubwa ni kuwa machine zimeharibika.
Sasa taarifa kwenu TRA, wamulikeni hawa Lake Oil maana miezi miwili nyuma nililiona hili nikaona sio kesi ila wiki jana nikapewa tena taarifa hiyo hiyo kuwa machine za risiti ni mbovu.
TRA, ni kweli mnakaa miezi miwili bila kwenda kutengeneza zile machine za risiti?
Usiku mwema wapendwa.