All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,564
Ile ni jukumu la Gvt kutoa huduma kwa jamii take kwa gharama nafuuInvestment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?
Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani