madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,421
- 864
- Thread starter
- #121
NitaangaliaTafuta bmdogo tu wala usiumize kichwa akiona umuombi lazma aanze kulalamika! Wala uctafute wazee au ushaur...
NitaangaliaTafuta bmdogo tu wala usiumize kichwa akiona umuombi lazma aanze kulalamika! Wala uctafute wazee au ushaur...
GoodHiyo njia ndefu sana wewe acha kumpoteza mwenzio..... wanawake wakijua una michepuko tena sio mmoja huwa wana heshima sana kuliko akijua unamtegemea yeye tu
Safi sanaWanawake was siku iz vichefuchefu dawa ni kuchepka unafka hom umejchokea unalala safi kabsaa ukinfanyia ivyo wiki 2 lazma aulize
Nina hakika sinaMmmh! Pole mkuu
Una uhakika hamna ulichomkosea?
Umetisha aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23]mamaaaaeeee wallah ikute huna ela alafu na mgegedo una kibamia hayo ndo matokeo
Hakuna aibu kwenye jambo la kweli tukificha tutazidi kuangamia kesho akija na tambara la acidhakika wanaume wanazidi kupotea mbna unawaaibisha wanaume wenzako hivi kweli unaandika kbisa uloyaandika vijana hamjaenda jandoni
haya sawa muache mpe taraka 3
Hapa ndo utaona kuwa mwanamke akikuchoka utajuta.Salaam wadau
Wadau mimi nina mke ambaye nilioa kwa sheria zote za kidini na tuna miaka kumi ndani ya ndoa yetu,hapo mwanzo ndoa yetu ilikuwa ya furaha na mapenzi lukuki
lakini ndani ya mwaka moja ndoa imeanza kulega mke ananuna bila ya sababu unyumba ni wa mashaka na nikipewa naambiwa fanya haraka umalize nataka kulala,
jamani hii ya juzi kati ndio ilikuwa funika na kudhihirishiwa mke amenichoka na hana mapenzi tena
kama mnavyojua ukishamaliza kula unyumba mke huwa na kitambaa na kumfuta mumewe na huku akimbembeleza kwa maneno matamu
balaa lililonikuta mimi nilipewa unyumba kwa masimango baada ya kumaliza kula unyumba mke nikamuuliza kuhusu kitambaa
Hakunijibu kitu alichofanya alifunua kitanda na kutoa jitambaa la dera la zamani akanitupia nijifute nami nikaanza kujifuta lakini ndani kama sekunde nikasikia nang'atwa kwenye uume
dah kushika ni sisimizi wale wenye vichwa vikubwa nikajikung'uta wakaisha nikalala kizazaa ilikuwa asubuhi uume una michanga aibu na lile tambara ni chafu hatari
jamani nilichoamua mimi nimuache sijui nyinyi waungwana mnashauri nini juu ya huyu mke
ushauri please kuna mapenzi tena hapo
ahsanteni
mmmhhKamnunulie tenge la wax toka kgm, mwambie unampenda sana, aache kujishaua!!!!
unaonaje kama akiondoka uje wewe maana hivyo ulivyo mhhhahahaaaa ukome kufulia
Dah okDera la zamani....! Mkuu inaelekea unatabia tabia za mwanaume suruali. Mtunze akutunze
sawa mkuuKwa nini usingeanza kumfuta yeye kwanza? Chunguza ni wapi unamkosea, hawa watu wakati mwingine ukiwakosea huwa hawasemi, ni vituko tu kwa sana! Timiza majukumu yako tote ipasavyo, unyumba atakupa mwenyewe na itakuwa kama mmeoana Jana.
umeona balaa hiloHapa ndo utaona kuwa mwanamke akikuchoka utajuta.
Usimuulize kitu uwe unarudi nyumbani umeshiba vizuri kwa Maria fika kulala tu.
Usiguze papuchi yake mwache, kula msimamo.
Atakuwa wa kutoka familia zile ni wasumbufu kweli.
ahsante kwa kujaMm napita kwa mbaaaali maana cjaoa bdo kwa hilo cwez kutia neno
Nashukuru na naheshimu maoni yakokama uvunguni kweli kuna siafu kwa karne hii ya 21 sipati picha mwenzetu unaishi mazingira gani kwa kweli..na kama hayo matambara yako katika hali hiyo huo uvundo unastahimili vipi lakini?
Usiige tabia kama hii toto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Fanya haraka mimi nataka kulala.