Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,490
Mguno veepeeMmmmhhhhh......
Mguno veepeeMmmmhhhhh......
Mahaba niue...Mguno veepee
Hiyo miaka 4 huajawahi kuwa na mwanamke mwngine? Acha kuwadharau wanawake, mwanamke ndo kakuzaa, anakupa starehe kakuzalia na watoto acha kujifanya mjuaji wwwwwweweeeAcheni zenu mnapembelexa waanawake anazingua ondoka mi alixingua akasema nitaondoka na wanangu nikuachie nyumba yako niliokuwa nimecheng kijitonyama... mi nikaondoka nikamuachia nyumba nikapanga miaka 2 hapo nimeshanunua uwanja nikajenga nyumba basi nikahamia kwangu mwaka wa4 sasa watoto wamenifuata mimi maisha yanaenda mpaka gari nilimuachia nipepa tuu nguo chache
Kama ana mke mwenye akili zinazoweza kuwekwa sawa na outing basi ajue anahasara kubwa nyumbani mwake.Una jambo unalomkera lakini kaliwekea moyoni, kitandani pia jitahidi kubadili hata vistaili ili mood irudi ya kufanya hilo tendo tena. Most of the women wakiwa na jambo moyoni linamtukuta lazima utaona vitukio kama hivyo... Jitahidi kumtoa out na kumuuliza ana shida gani in polite and romantic way..
Ndo najifunza babuMahaba niue...
Jogi huna maana hiyo mbinu mpya kaifanyie kazi kwako acha kumponza mwenzioKama ana mke mwenye akili zinazoweza kuwekwa sawa na outing basi ajue anahasara kubwa nyumbani mwake.
Any!! inamaana hana hata house girl?
methali inasema "dawa ya moto ni moto"
Kama huko ndo kujifunza, wallah ukifuzu kuna mwanaume atakuwa na bahati sana. Natamani ningekuwa mimi...Ndo najifunza babu
Mkuu, mtaoga Mara ngapi usiku??hivi kumbe kuna kufutana?me nikajua mkimaliza ni kuoga
HahahaKama huko ndo kujifunza, wallah ukifuzu kuna mwanaume atakuwa na bahati sana. Natamani ningekuwa mimi...
Kuongeza mke eti eeeeh!!!Nilikuwa nakuhurumia lakini uliposema kukulwa na sisimizi nimejikuta tu nacheka...
Usimwache, we ongea nae na ikiwezekana badilisha mahala pa kula tunda pendwa, usiku mnaweza kuoga wote huko ukapata kimoja cha pili mna malizia chumbani tena sio kitandani, kama kuna kochi chumbani mchezo umalizie hapo hapo....
Jitahidi kumuandaa vyema kabla ya mechi... Asipobadilika hapo dawa ya wanawake waijua, sikushauri ufikie huko ila ikibidi jibu unalijua
Naamini utanifikiria. Niko radhi unipe matumaini hata kwa kunidanganya...Hahaha
Babuuu
Hana mshindani ndio maana kajibweteka!!!!Jogi huna maana hiyo mbinu mpya kaifanyie kazi kwako acha kumponza mwenzio
punguza ukali wa manenoDu mpaka sisimizi mnatombana kwenye pango au kichakani?
Ila mkuu una moyo, mi nikipewa papuchi kwa masimango siwezi kula hata kwa dawa, hata hamu nayo nitakua sina kabisaaa