madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,421
- 864
- Thread starter
- #61
shukrani ushauri mzuri mkuuPolee anza kwa kuongea naye kwanza ujue nini hasa tatizo alafu jitahidi kua muwazi kwake na kumsihi pia awe muwazi kwako ila katika kuongea naye inabidi uwe mvumilivu kidogo pia zingatia mazingira yawe mazuri kama alivyoxema relato then ndo utajua ufanye nn baada ya hapo