madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,421
- 864
- Thread starter
- #161
NdoanaN D O A
NdoanaN D O A
Mlete kwangu nimtie adabu.
Hebu tupia picha yake hapa kwanza
yakuficha usiweke hadharani bro..
Muongo huyosisimizi + michanga, hicho chumba kina safishwa kweli?
Kwa hiyo usiku ukipiga bao tatu unaoga mara tatu pia??hivi kumbe kuna kufutana?me nikajua mkimaliza ni kuoga
Sasa hujaelewa nn apo●"Tuna miaka kumi ndani ya ndoa yetu"
●"Lakini ndani ya mwaka mmoja ndoa imeanza kulega"
Inashangaza
[emoji57]Hata hilo pia ni wazo zuri,so wala usipinge mawazo yangu. As umewaza hivi na mimi nimewaza vile
naheshimu uhuru wako wa maoniMuongo huyo
[emoji41][emoji57]
[emoji14] [emoji14] [emoji14][emoji41]
Sio mchwa lakin?Salaam wadau
Wadau mimi nina mke ambaye nilioa kwa sheria zote za kidini na tuna miaka kumi ndani ya ndoa yetu,hapo mwanzo ndoa yetu ilikuwa ya furaha na mapenzi lukuki
lakini ndani ya mwaka moja ndoa imeanza kulega mke ananuna bila ya sababu unyumba ni wa mashaka na nikipewa naambiwa fanya haraka umalize nataka kulala,
jamani hii ya juzi kati ndio ilikuwa funika na kudhihirishiwa mke amenichoka na hana mapenzi tena
kama mnavyojua ukishamaliza kula unyumba mke huwa na kitambaa na kumfuta mumewe na huku akimbembeleza kwa maneno matamu
balaa lililonikuta mimi nilipewa unyumba kwa masimango baada ya kumaliza kula unyumba mke nikamuuliza kuhusu kitambaa
Hakunijibu kitu alichofanya alifunua kitanda na kutoa jitambaa la dera la zamani akanitupia nijifute nami nikaanza kujifuta lakini ndani kama sekunde nikasikia nang'atwa kwenye uume
dah kushika ni sisimizi wale wenye vichwa vikubwa nikajikung'uta wakaisha nikalala kizazaa ilikuwa asubuhi uume una michanga aibu na lile tambara ni chafu hatari
jamani nilichoamua mimi nimuache sijui nyinyi waungwana mnashauri nini juu ya huyu mke
ushauri please kuna mapenzi tena hapo
ahsanteni
Kama na yy anashiba kwa jafari?Hapa ndo utaona kuwa mwanamke akikuchoka utajuta.
Usimuulize kitu uwe unarudi nyumbani umeshiba vizuri kwa Maria fika kulala tu.
Usiguze papuchi yake mwache, kula msimamo.
Atakuwa wa kutoka familia zile ni wasumbufu kweli.
Ukute mkeo huyo anajibu mashambulizi kwamba ww muongo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]naheshimu uhuru wako wa maoni
Samahani eti hapo mbele kuna kinjia chakutokea barabarani mm napita tu. [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] Point hiyo piaMiaka kumi??? Leo kabadilika? Ubahili wako mwanamke ndo amekuwa kama mme chakula na kila kitu yeye, ana madeni balaa wewe unamjia na minyege yako??
Maana ya msemo wako ni IPI mkuukweli nazid kuamin hata siku moja usijaribu kujenga nyumba kwenye njia ya maji yan lazima siku 1 yatarud tuuu kule kuleeeee