Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo nkupe hata note 3Tecno C5 tu nanga inapaa,
ntaishia kuvisoma tu
Km Profl pic ndo ww bac hata laptop utapata. Ila km co ww jichange change ipate hata c8ngoja ni screenshot
hii sms yako
khaaKm Profl pic ndo ww bac hata laptop utapata. Ila km co ww jichange change ipate hata c8
Sent using Jamii Forums mobile app
M 2.2 nikiongezea m 1.5 napata babywalker(passo) aisee!wengine tutaishia kuangalia kwa macho!Yeee kimekuja kuna watu walibisha IPhone 8 haitoki September. Ni simu ya dola elfu.
Video hii kali zaidi. Kuna mada nilisema computer ni uchawi jamaa wakiniona mjima. Maikilizeni huyo jamaa ametumia neno magic mara ngapi kwenye presentation yake.
We jamaa mungu anakuona,sio kwa kutudanganya huko!!! iPhone 8 na 8plus na iPhone X zote zimeshatoka!!!Iphone 8 itatoka mwakini mwezi wa tisa, mwezi wa tisa mwaka huu inatoka 7s na ios 11,
Kawaida ya apple huwa wanafanya mabadiliko kidogo ya designing baada ya matoleo matatu na toleo la nne huwa na mabadiliko makubwa zaid.
Iphone 7s inakuwa na utofauti na iphone 7 kwa mtazamo japo sio mkubwa sana ila iphone 8 itakuwa tofauti zaid.
Ila performance ya iphone 8 haitakuwa na tofaut kuwa na iphone 7s, na zote zitamaliza kupokea update pamoja.
Iphone 5s na iphone 6 zinafanana kabisa kiutendaji
Iphone 6s na iphone 7 hali ni hiyo hiyo
Habari zote juu iphone 8 ni zakufikirika bado sio habar ramsi kutoka apple
Dah we jamaa ni muongo kichizi!Iphone 8 hadi mwakan mwez wa 9 natumia iphone toka iphone 3g had sasa na nimfatiliaji mvur wa update zao kwa kila device zao.
Apple soko lao aliendeshwi na sana kama soko la bidhaa zingine.
Ndio maana had leo hakuna mackbook iliyotoka touch screen ila bado wauza kwa gharama kubwa na kiwango kikubwa