Kitu kipya kinakuja Iphone 8

Iphone 8 hadi mwakan mwez wa 9 natumia iphone toka iphone 3g had sasa na nimfatiliaji mvur wa update zao kwa kila device zao.
Apple soko lao aliendeshwi na sana kama soko la bidhaa zingine.
Ndio maana had leo hakuna mackbook iliyotoka touch screen ila bado wauza kwa gharama kubwa na kiwango kikubwa
Kweli mkuu, na mimi pia naipenda hii brand,ningependa kujua "Apple mackbook" ni bei gani duka...?
 
Yeee kimekuja kuna watu walibisha IPhone 8 haitoki September. Ni simu ya dola elfu.

60937ddf8439ea55673087f63010fbed.jpg
 
Wametangaza leo kwenye TV imeshaanza kutoka. Ila si unajua zinaanzia jikoni.
Heads up tu hiyo. Wakali wa biashara na maadvataizi mkae mkao wa kula.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom