Kitu kipya kinakuja Iphone 8

Kitu kipya kinakuja Iphone 8

Iphone 8 hadi mwakan mwez wa 9 natumia iphone toka iphone 3g had sasa na nimfatiliaji mvur wa update zao kwa kila device zao.
Apple soko lao aliendeshwi na sana kama soko la bidhaa zingine.
Ndio maana had leo hakuna mackbook iliyotoka touch screen ila bado wauza kwa gharama kubwa na kiwango kikubwa

Sawa mkuu tusubiri September. Mimi iphone 7 plus yangu wamenipa upgrade plan September mwaka huu. Na pia huu ni mwaka wa kumi tokea iphone ya kwanza itoke. Watakuwa na kijisherehe.
 
Mimi na kitecno changu JF inafunguka baas inatosha.

Uko vizuri mkuu. Bei za hizi simu ziko juu sana kwa sababu ya vitu vingi ambavyo haviko Bongo.

Kwenye simu yangu nimedownload app ambayo inaniwezesha kuangalia channel zote karibu elfu za TV kwenye simu. Sihitaji kuwa nyumbani kuangalia live gemu za Chelsea au Barcelona.

Sasa hivi wametoa app ambayo unaweza kukaa nyumbani ukaagiza chakula uletewe nyumbani au unaenda kuchukua mwenyewe.

Kampuni za usafiri zina apps zao unadowload kwenye simu na kupanga safari zako.

Unaweza kuunganisha server ya email za kazini kwako.

Conference calls mtu anaweza kuwa ndani ya teksi akahudhuria mkutano muhimu wa kazini na watu wa majimbo tofauti mwingine yuko Chicago, mwingine California, mwingine Canada.


Security unaweza kufunga camera nyumbani kwako ukaangalia kinachoendelea nyumbani kwako wewe mwenyewe uko kazini au mbali sana na nyumbani kwako.

Google voice na Siri ni balaa. Unauliza swali unajibiwa mpaka unazima sigara.

GPS nimegundua inafanya kazi Bongo lakini sijajaribu kuona kama voice yake inafanya kazi au iko sahihi. Sijui itakupa muongozo gani ukiiambia ikatize mitaa ya Tabata

Kuna vitu vingi sana kiasi kwamba hata Laptop zimepungua shughuli. Kimsingi hata wazee wakoloni wakoloni wanaapreciate hizi simu ni muhimu sio luxury tena.

Sasa unapotoa milioni mbili kununua Iphone Bongo na unaiutumia kwa WhatsApp na Instgram tu Internet yenyewe tete huwezi hata kuangalia movie. Kwa kifupi ni uzembe.

Ukizingatia ikiibiwa imeibiwa hakuna chs bima wala nini.
 
Iphone 8 itatoka mwakini mwezi wa tisa, mwezi wa tisa mwaka huu inatoka 7s na ios 11,
Kawaida ya apple huwa wanafanya mabadiliko kidogo ya designing baada ya matoleo matatu na toleo la nne huwa na mabadiliko makubwa zaid.
Iphone 7s inakuwa na utofauti na iphone 7 kwa mtazamo japo sio mkubwa sana ila iphone 8 itakuwa tofauti zaid.
Ila performance ya iphone 8 haitakuwa na tofaut kuwa na iphone 7s, na zote zitamaliza kupokea update pamoja.
Iphone 5s na iphone 6 zinafanana kabisa kiutendaji
Iphone 6s na iphone 7 hali ni hiyo hiyo

Habari zote juu iphone 8 ni zakufikirika bado sio habar ramsi kutoka apple

Mkuu umeandika bandiko zuri na refu ila kuna sehemu nitapingana na wewe.

iPhone huwa hawatabiriki sana katika matoleo yake hvyo kutaja hilo gape la miaka 4 ndo kunakuwa nachange kubwa ni uongo. Tangu zianze huwa zinatoka kila mwaka hvyo toleo kuu hufuatiwa na toleo (s). Mfano iPhone 4 ikaja 4s. 5,6 na tunategemea 7 pia.

Kusema pia kuwa iphone 5s na 6 zinafanana kabisa kiutendaji ni uongo labda kama ulikuwa ukimaanisha SE.
6s ina tofauti nyingi na hiyo 7 unayotaka kuilinganisha nazo.
Ila kwingine kote naungana na wewe.
 
Iphone 8 itatoka mwakini mwezi wa tisa, mwezi wa tisa mwaka huu inatoka 7s na ios 11,
Kawaida ya apple huwa wanafanya mabadiliko kidogo ya designing baada ya matoleo matatu na toleo la nne huwa na mabadiliko makubwa zaid.
Iphone 7s inakuwa na utofauti na iphone 7 kwa mtazamo japo sio mkubwa sana ila iphone 8 itakuwa tofauti zaid.
Ila performance ya iphone 8 haitakuwa na tofaut kuwa na iphone 7s, na zote zitamaliza kupokea update pamoja.
Iphone 5s na iphone 6 zinafanana kabisa kiutendaji
Iphone 6s na iphone 7 hali ni hiyo hiyo

Habari zote juu iphone 8 ni zakufikirika bado sio habar ramsi kutoka apple
waambie itakua na fingerprint kabisa
 
Ila iPhone wanaibia watu ukiangalia product zao hakuna mabadiliko makubwa sana toka iPhone 5 huuu wizi jamani do
Iphone 5 ina tofauti kubwa na 5s labda kama.unaangalia umbo.
Kwanza 5 ina 32 bits processor
Halafu siyo mult task
Njoo kwenye camera pia
Inaelekea we si mtumiaji ni mtazamaji kwa hiyo waona zinafanana fanana kwenye maumbo wadhani ziko sawa.
 
Uko vizuri mkuu. Bei za hizi simu ziko juu sana kwa sababu ya vitu vingi ambavyo haviko Bongo.

Kwenye simu yangu nimedownload app ambayo inaniwezesha kuangalia channel zote karibu elfu za TV kwenye simu. Sihitaji kuwa nyumbani kuangalia live gemu za Chelsea au Barcelona.

Sasa hivi wametoa app ambayo unaweza kukaa nyumbani ukaagiza chakula uletewe nyumbani au unaenda kuchukua mwenyewe.

Kampuni za usafiri zina apps zao unadowload kwenye simu na kupanga safari zako.

Unaweza kuunganisha server ya email za kazini kwako.

Conference calls mtu anaweza kuwa ndani ya teksi akahudhuria mkutano muhimu wa kazini na watu wa majimbo tofauti mwingine yuko Chicago, mwingine California, mwingine Canada.


Security unaweza kufunga camera nyumbani kwako ukaangalia kinachoendelea nyumbani kwako wewe mwenyewe uko kazini au mbali sana na nyumbani kwako.

Google voice na Siri ni balaa. Unauliza swali unajibiwa mpaka unazima sigara.

GPS nimegundua inafanya kazi Bongo lakini sijajaribu kuona kama voice yake inafanya kazi au iko sahihi. Sijui itakupa muongozo gani ukiiambia ikatize mitaa ya Tabata

Kuna vitu vingi sana kiasi kwamba hata Laptop zimepungua shughuli. Kimsingi hata wazee wakoloni wakoloni wanaapreciate hizi simu ni muhimu sio luxury tena.

Sasa unapotoa milioni mbili kununua Iphone Bongo na unaiutumia kwa WhatsApp na Instgram tu Internet yenyewe tete huwezi hata kuangalia movie. Kwa kifupi ni uzembe.

Ukizingatia ikiibiwa imeibiwa hakuna chs bima wala nini.
ILE SIRI NI UNYAMA NA WAMESEMA WAMEIBOROSHA ZAIDI NA KUONGEZA LUGHA
 
0535b756d895bfaf7a151cd6adc33f97.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom