Iphone 8 hadi mwakan mwez wa 9 natumia iphone toka iphone 3g had sasa na nimfatiliaji mvur wa update zao kwa kila device zao.
Apple soko lao aliendeshwi na sana kama soko la bidhaa zingine.
Ndio maana had leo hakuna mackbook iliyotoka touch screen ila bado wauza kwa gharama kubwa na kiwango kikubwa
Wireless charging ndio wanakuja nayo mwakani.hawa jamaa waazingua kinoma yaani.Ila iPhone wanaibia watu ukiangalia product zao hakuna mabadiliko makubwa sana toka iPhone 5 huuu wizi jamani do
Mimi na kitecno changu JF inafunguka baas inatosha.
Iphone 8 itatoka mwakini mwezi wa tisa, mwezi wa tisa mwaka huu inatoka 7s na ios 11,
Kawaida ya apple huwa wanafanya mabadiliko kidogo ya designing baada ya matoleo matatu na toleo la nne huwa na mabadiliko makubwa zaid.
Iphone 7s inakuwa na utofauti na iphone 7 kwa mtazamo japo sio mkubwa sana ila iphone 8 itakuwa tofauti zaid.
Ila performance ya iphone 8 haitakuwa na tofaut kuwa na iphone 7s, na zote zitamaliza kupokea update pamoja.
Iphone 5s na iphone 6 zinafanana kabisa kiutendaji
Iphone 6s na iphone 7 hali ni hiyo hiyo
Habari zote juu iphone 8 ni zakufikirika bado sio habar ramsi kutoka apple

waambie itakua na fingerprint kabisaIphone 8 itatoka mwakini mwezi wa tisa, mwezi wa tisa mwaka huu inatoka 7s na ios 11,
Kawaida ya apple huwa wanafanya mabadiliko kidogo ya designing baada ya matoleo matatu na toleo la nne huwa na mabadiliko makubwa zaid.
Iphone 7s inakuwa na utofauti na iphone 7 kwa mtazamo japo sio mkubwa sana ila iphone 8 itakuwa tofauti zaid.
Ila performance ya iphone 8 haitakuwa na tofaut kuwa na iphone 7s, na zote zitamaliza kupokea update pamoja.
Iphone 5s na iphone 6 zinafanana kabisa kiutendaji
Iphone 6s na iphone 7 hali ni hiyo hiyo
Habari zote juu iphone 8 ni zakufikirika bado sio habar ramsi kutoka apple
Iphone 5 ina tofauti kubwa na 5s labda kama.unaangalia umbo.Ila iPhone wanaibia watu ukiangalia product zao hakuna mabadiliko makubwa sana toka iPhone 5 huuu wizi jamani do
Mbona kuanzia 5s zina fingerprint.waambie itakua na fingerprint kabisa
Ila iPhone wanaibia watu ukiangalia product zao hakuna mabadiliko makubwa sana toka iPhone 5 huuu wizi jamani do
Mkuu mbona kama umeleta uzi kuonyesha hasira zako kwa ip users.
Kama hauziwezi ips kuwa mpole.
kwanin iphone hazina flash ya mbele
yaani hamna cha maana sana kibongobongoIla iPhone wanaibia watu ukiangalia product zao hakuna mabadiliko makubwa sana toka iPhone 5 huuu wizi jamani do
ILE SIRI NI UNYAMA NA WAMESEMA WAMEIBOROSHA ZAIDI NA KUONGEZA LUGHAUko vizuri mkuu. Bei za hizi simu ziko juu sana kwa sababu ya vitu vingi ambavyo haviko Bongo.
Kwenye simu yangu nimedownload app ambayo inaniwezesha kuangalia channel zote karibu elfu za TV kwenye simu. Sihitaji kuwa nyumbani kuangalia live gemu za Chelsea au Barcelona.
Sasa hivi wametoa app ambayo unaweza kukaa nyumbani ukaagiza chakula uletewe nyumbani au unaenda kuchukua mwenyewe.
Kampuni za usafiri zina apps zao unadowload kwenye simu na kupanga safari zako.
Unaweza kuunganisha server ya email za kazini kwako.
Conference calls mtu anaweza kuwa ndani ya teksi akahudhuria mkutano muhimu wa kazini na watu wa majimbo tofauti mwingine yuko Chicago, mwingine California, mwingine Canada.
Security unaweza kufunga camera nyumbani kwako ukaangalia kinachoendelea nyumbani kwako wewe mwenyewe uko kazini au mbali sana na nyumbani kwako.
Google voice na Siri ni balaa. Unauliza swali unajibiwa mpaka unazima sigara.
GPS nimegundua inafanya kazi Bongo lakini sijajaribu kuona kama voice yake inafanya kazi au iko sahihi. Sijui itakupa muongozo gani ukiiambia ikatize mitaa ya Tabata
Kuna vitu vingi sana kiasi kwamba hata Laptop zimepungua shughuli. Kimsingi hata wazee wakoloni wakoloni wanaapreciate hizi simu ni muhimu sio luxury tena.
Sasa unapotoa milioni mbili kununua Iphone Bongo na unaiutumia kwa WhatsApp na Instgram tu Internet yenyewe tete huwezi hata kuangalia movie. Kwa kifupi ni uzembe.
Ukizingatia ikiibiwa imeibiwa hakuna chs bima wala nini.