Kitu gani kitanizuia kuwa Kama Elon Musk

Mwalimu wangu Dokta George aliniambia huwezi kuwa na akili timamu kama unakula chakula cha chini ya Tsh. 3000 kwa mlo mmoja.
Na alisisitiza kabisa, aina ya vyakula tunayotumia ina direct impact na uwezo wetu wa kufikiri.
Huyo mwalimu wako anayekula zaid ya sh 3000 amefanya nin in world of technology
 
Kwa ufupi

Musk alianzisha kampuni yake ya Kwanza Kwa mtaji WA zaidi ya Dollar M10+

Musk hajatoka familia ya kimaskini, wazazi wake walisha kua na shutuma za kutorosha Madin Ndani ya afrika Kwa baadhi ya nchi : South Africa, Zimbabwe..

Musk ni mjanja mjanja Sana Kwa namna anavyoendeasha kampuni zake .. "Fuatilia

Musk ana Balls za kiwango kingine Kwa ufupi (ana umafia flan WA kimya kimya sana )

Musk mazingira yake ya kiashara yako friendly sana as anamiziz ya kutosha

Musk anapiga kazi kama Hana akili nzuri Kwa ufupi sidhan kama anaenjoy maisha na familia yake

Musk analala ofisini mara nyingi zaidi

Unaweza kupiga hatua kubwa kwenye maisha lakini sina uhakika kama utakua the same Musk

Nawasilisha "
 
futa social netw. huku yeye akinunua social netw,... akili kumkichwa
 
Mwalimu wangu Dokta George aliniambia huwezi kuwa na akili timamu kama unakula chakula cha chini ya Tsh. 3000 kwa mlo mmoja.
Na alisisitiza kabisa, aina ya vyakula tunayotumia ina direct impact na uwezo wetu wa kufikiri.
Alikuwa sahihi, lakini vyakula vinaathiri kidogo tu uwezo wetu wa kufikiri, unaathiriwa na genetic factors, "yaani ni WA kurithi" Kama sivyo watoto wa kishua wengi wangekuwa ma genius
 
Unataka kuwa Kama Elo ni Musiki?
Nilimsikia mmasai mmoja akimuuliza mleta mada.
 
Actually unaweza kua kama Elon Musk, i mean unaweza kua na $250B au kumzidi kama ndo una maanisha. It’s entirely possible even if uko ndanda huko but it’s an uphill battle, very very rough road it gonna take you to be there.

Kua na $250B unahitaji vifuatavyo.

First and foremost unajitaji kua na IQ kubwa. At least >100 ambayo na hope unayo.

Why that IQ?

Hiyo ina guarantees deep innovative and creative mind. Actually critical thinking.

2nd
Uwe na Right time and impactful idea such that it actually solves peoples problems.

Why right time?
Sio idea tu bali idea ambayo itasolve tatizo lililopo na kwa watu wengi.

Hii itasaidia nini?
Namaanisha idea ambayo haitahitaji marketing sana, itajisell kutokana na quality yake na how it solves problem.

Narudia tena iwe timely needed idea.

Uliwahi ona tesla ina advertise magari yao? No. Why? You’ve your answer.

3rd
Baada ya kua na hiyo unique idea, fundraise na create kampuni and start mass production of your product au scale service.

4th
Go public and have your company listed on stock exchange market. And request abroad SEs listing too. Kwasababu ni unique company offering unique products/service investors wataflock kununua share kwenye SE markets.

Assuming umeanza na $500 per share on SE na your company ina shares 100k. Valuation ya company yako $50m.

Assume wewe ni co-founder na unamiliki 50% ya company.

That means unautajiri wa $25m

Kama demand ya shares zako zikizidi sana, shares price ita skyrocket.

As time goes on.

Kua na $250B kampuni yako inabidi ifikie valuation ya $250B /.5 =$500B


That’s an impressive steel balls blud.

Getting to $250B kutokea 🇹🇿 would need a freaking genius mind.

Example of things zinazoweza kukupa $250B or more within a year ni kua na idea ya batteryless mobile phone halafu uiuze apple, samsung na makampuni mengine.

You need to be from mars at this moment.

Are you ready?
 
Mama yake Elon katoka Familia Bora. Kama wadau walivyosema hapo juu.. rangi ya ngozi yako ni ngumu mno kupenya kwenye world of capitalism especially kwenye tech. Ukweli ni kuwa watu weupe wanatuona bado sana Sana.
 
Mama yake Elon katoka Familia Bora. Kama wadau walivyosema hapo juu.. rangi ya ngozi yako ni ngumu mno kupenya kwenye world of capitalism especially kwenye tech. Ukweli ni kuwa watu weupe wanatuona bado sana Sana.
 
Actually unaweza kua kama Elon Musk, i mean unaweza kua na $250B au kumzidi kama ndo una maanisha. It’s entirely possible even if uko ndanda huko but it’s an uphill battle, very very rough road it gonna take you to be there.

Kua na $250B unahitaji vifuatavyo.

First and foremost unajitaji kua na IQ kubwa. At least <100 ambayo na hope unayo.

Why that IQ?

Hiyo ina guarantees deep innovative and creative mind. Actually critical thinking.

2nd
Uwe na Right time and impactful idea such that it actually solves peoples problems.

Why right time?
Sio idea tu bali idea ambayo itasolve tatizo lililopo na kwa watu wengi.

Hii itasaidia nini?
Namaanisha idea ambayo haitahitaji marketing sana, itajisell kutokana na quality yake na how it solves problem.

Narudia tena iwe timely needed idea.

Uliwahi ona tesla ina advertise magari yao? No. Why? You’ve your answer.

3rd
Baada ya kua na hiyo unique idea, fundraise na create kampuni and start mass production of your product au scale service.

4th
Go public and have your company listed on stock exchange market. And request abroad SEs listing too. Kwasababu ni unique company offering unique products/service investors wataflock kununua share kwenye SE markets.

Assuming umeanza na $500 per share on SE na your company ina shares 100k. Valuation ya company yako $50m.

Assume wewe ni co-founder na unamiliki 50% ya company.

That means unautajiri wa $25m

Kama demand ya shares zako zikizidi sana, shares price ita skyrocket.

As time goes on.

Kua na $250B kampuni yako inabidi ifikie valuation ya $250B /.5 =$500B


That’s an impressive steel balls blud.

Getting to $250B kutokea 🇹🇿 would need a freaking genius mind.

Example of things zinazoweza kukupa $250B or more within a year ni kua na idea ya batteryless mobile phone halafu uiuze apple, samsung na makampuni mengine.

You need to be from mars at this moment.

Are you ready?
Kuna madini nimepata hapa
 
usikatishwe tamaa everything is possible,na mm n miongoni wa watu wanao tamani kuwa ma tycoon,i hope kila kitu kiki kaa kny mstr inshallah tutafanikiwa
 
Anza na Kubadili uraia,pata uraia wa Marekani kisha endelea kuishi Bongo kama mgeni

kisha endelea fukuzia ndoto zako,penye nia pana njia ila hata uwe na nia gani bila kuwa mzungu hata kimaandishi hutoboi.
Mbona Dangote katoboa hapa hapa Africa. Moe nae anakwenda taratibu hapahapa TZ kwa sekta ya kilimo.
 
Actually unaweza kua kama Elon Musk, i mean unaweza kua na $250B au kumzidi kama ndo una maanisha. It’s entirely possible even if uko ndanda huko but it’s an uphill battle, very very rough road it gonna take you to be there.

Kua na $250B unahitaji vifuatavyo.

First and foremost unajitaji kua na IQ kubwa. At least <100 ambayo na hope unayo.

Why that IQ?

Hiyo ina guarantees deep innovative and creative mind. Actually critical thinking.

2nd
Uwe na Right time and impactful idea such that it actually solves peoples problems.

Why right time?
Sio idea tu bali idea ambayo itasolve tatizo lililopo na kwa watu wengi.

Hii itasaidia nini?
Namaanisha idea ambayo haitahitaji marketing sana, itajisell kutokana na quality yake na how it solves problem.

Narudia tena iwe timely needed idea.

Uliwahi ona tesla ina advertise magari yao? No. Why? You’ve your answer.

3rd
Baada ya kua na hiyo unique idea, fundraise na create kampuni and start mass production of your product au scale service.

4th
Go public and have your company listed on stock exchange market. And request abroad SEs listing too. Kwasababu ni unique company offering unique products/service investors wataflock kununua share kwenye SE markets.

Assuming umeanza na $500 per share on SE na your company ina shares 100k. Valuation ya company yako $50m.

Assume wewe ni co-founder na unamiliki 50% ya company.

That means unautajiri wa $25m

Kama demand ya shares zako zikizidi sana, shares price ita skyrocket.

As time goes on.

Kua na $250B kampuni yako inabidi ifikie valuation ya $250B /.5 =$500B


That’s an impressive steel balls blud.

Getting to $250B kutokea 🇹🇿 would need a freaking genius mind.

Example of things zinazoweza kukupa $250B or more within a year ni kua na idea ya batteryless mobile phone halafu uiuze apple, samsung na makampuni mengine.

You need to be from mars at this moment.

Are you ready?
Umesahau umoliki wa multiple company.
EM ana makampuni mengi.
Kn Afruca matajiti hawapi rsyari kuwekeza kwenye tech startup ni wachache sana.
 
In reality akizaliwa Afrika na makaburu. Si mwafrika yule
Kwa hio Michael Jordan kazaliwa na familia ya watu weusi huko USA sio Mmarekani.
Hii dhana mmeitoa wapi? Karibu Nusu ya watu wanaoishi Africa sio weusi bado mnanawazo Africa ni bara la watu weusi! Someni someni achaneni na ile elimu mliopata shuleni inamapungufu mengi sana.
 
Kwa hio Michael Jordan kazaliwa na familia ya watu weusi huko USA sio Mmarekani.
Hii dhana mmeitoa wapi? Karibu Nusu ya watu wanaoishi Africa sio weusi bado mnanawazo Africa ni bara la watu weusi! Someni someni achaneni na ile elimu mliopata shuleni inamapungufu mengi sana.
Kwani michael jordan ni mweupe kama elon? Mimi namwowngelea elon musk mweupe yule na haijawahi kuwa proud kuwa ni mwafrika. Anaji refer zaidi being Canadian kuliko hata usouth african.
 
Back
Top Bottom