Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 630
- 1,291
Well swali zuri na siku sio nyingi nita andika kuhusu Hilo,Ila Kwa kifupi ni kwamba sio kila mwenye ujuzi basi anaweza kuutumia,hawa writers pamoja na motivational speakers sio kwamba wanacho ongea au kuandika ni uongo Ila kwamba NI vigumu MTU kuyaishi Kwa sababu ingekuwa rahisi kila Mtu angeishi,hawa ni sawa na mwalimu wa uchumi anaefundisha uchumi lakini yeye mwenyewe hali yake kiuchumi IPO chini,sio Kwamba anachofundisha ni uongo, mchungaji WA dini ambae anahuburi kuhusu maswala ya Mungu Ila bado anatenda kinyume, haimanishi kwamba anachohubiri ni cha uongo, la Ila si rahisi kuishi vile anavyohubiri.Kwanini Joel Nanauka asiishi kwenye alichoandika?
Kwa concept hii naamini nitakuwa nimekujibu.
Naomba KUWASILISHA 😁