hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 853
- 2,037
Habari Wana jf
Mimi ni mtanzania niliye na shauku kubwa ya kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa duniani hasa wa kifedha , Elon Musk ndiye role model wangu. Nikifatilia story za Elon Musk ili nijijenge zaidi
👉Kwenye Kati ya speech yake Elon alisisitiza watu wafute social media, basi nami sikuchelewa nikafuta account ya Facebook na Instagram
👉Elon Musk pia wakati anasimulia kuhusu story yake ya Maisha alisema at 13 alikuwa amejifunza coding lakini pia alikuwa anaweza kutengeneza application hapa nikapishana nae.
👉Kinacho ni inspire zaidi ni kwamba Elon ni kijana wa kiafrika tu from South Africa aliyesoma physics akaielewa.
Basi niambieni ni kitu gani kitanizuia Mimi kuwa Kama Elon Musk miaka 10 baadaye
Mimi ni mtanzania niliye na shauku kubwa ya kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa duniani hasa wa kifedha , Elon Musk ndiye role model wangu. Nikifatilia story za Elon Musk ili nijijenge zaidi
👉Kwenye Kati ya speech yake Elon alisisitiza watu wafute social media, basi nami sikuchelewa nikafuta account ya Facebook na Instagram
👉Elon Musk pia wakati anasimulia kuhusu story yake ya Maisha alisema at 13 alikuwa amejifunza coding lakini pia alikuwa anaweza kutengeneza application hapa nikapishana nae.
👉Kinacho ni inspire zaidi ni kwamba Elon ni kijana wa kiafrika tu from South Africa aliyesoma physics akaielewa.
Basi niambieni ni kitu gani kitanizuia Mimi kuwa Kama Elon Musk miaka 10 baadaye