Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 208
- 405
Sasa ulitaka tutoe nn zaidTangu urafiki, uchumba hadi kwenye ndoa bado mchango wa mwanamke kwenye mahusiano unabaki kuwa K tu hana kingine
Sasa ulitaka tutoe nn zaidTangu urafiki, uchumba hadi kwenye ndoa bado mchango wa mwanamke kwenye mahusiano unabaki kuwa K tu hana kingine
Kwa Sheria zetu tukufu huyo ni mkeo tayari.....😄😄😄😄tulioana kijeshi maana alikuja akakaa wiki hlf akapotea.
kumbe alienda kwao.
alivyorudi akaja na vitu vyake vingi. ile mara ya kwanza vilikuwa vichache. apo kumbuka hatujaoana.
ule mwezi haukuisha tukawapokea wadogo zake 2 na mamkwe.
Leo apa naandika imeshapita miaka 5. apo kumbuka hatujaoana.
ivi ulisema wenye ndoa ndo wasimulie?
Wizo unazingua bana.!! 🤣🤣🤣🤣Wizo kumbe hogo la Kantre kuna muda linalala DORO?? 😱😱😱
Akii bora extro wangu muda wote chuma ni ya moto.... 😍😍😍😍🥰🥰 chuma ya doshi Extrovert
Kama ni hivyo tukubaliane kuwa mwanamke ni chombo cha stareheSasa ulitaka tutoe nn zaid
mzee wa kutifua vinyeoKama ni hivyo tukubaliane kuwa mwanamke ni chombo cha starehe
Inaozesha serikali kisheria, makanisa na misikiti ni mawakala wake.Mimi nilishangaa kuona cheti cha ndoa kimeandikwa jamhuri ya muungano wa tanzania
wakati niliamini kwa kuwa ni ndoa ya kikristo nitapewa cheti cha kanisa ninalosali.
😹😹😂😂 Ndo mwezi ujao my wangu, hivi sijakupa kadi udugu wanguu??Wizo unazingua bana.!! 🤣🤣🤣🤣
Em edit hapo ulipotaja jina la K atakuja kukuchamba mi sikutetei unamjua lakini!!!
Ww endelea kuenjoy hogo la cazee kwa raha zako, vipi ndoa yenu lini?? 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 wizo fanya hivyo chap! Ila leo umeniita udugu kweli ndoa ipo karibu sio kawaida yako ujue😹😹😂😂 Ndo mwezi ujao my wangu, hivi sijakupa kadi udugu wanguu??
we ni udugu wangu my wangu hadi kifo kitutenganisheee, ntakualika uje kanisa la ST PETERS uone tunavyobarikiwa na KADINALI PENGO 🥰🥰🤣🤣🤣🤣 wizo fanya hivyo chap! Ila leo umeniita udugu kweli ndoa ipo karibu sio kawaida yako ujue
Oyooooooo.!! Wizo ake nakupetraaaje sasa!! Utanouga na shela lako jeupeeeee..!! Huku pembeni ext na suit yake pambe kabisaaaa.!!we ni udugu wangu my wangu hadi kifo kitutenganisheee, ntakualika uje kanisa la ST PETERS uonge tunavyobarikiwa na KADINALI PENGO 🥰🥰
Mkuu majibu yako matamu😃😃Njoo unisaidie kumvutia akuweke wewe daily mwanangu 🤣
Acha kumlisha mtoto mzuri mibloila hiyo😆
Kama unakitobo kidogo niko tayari kukuoa, kama una stiggler ya rufiji tuangalie alternative way tuoaneAmeeeeen
Huyo alikutamani hakukupenda aliyoyakuta hayamoNilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kichele😝
Kama majibu yake tu ni matam sipati picha papuch itakuaje?Mkuu majibu yako matamu😃😃
Tayari nimefanya booking, check DMebu mtu akuje anioe ili nije kuleta mrejesho
Na kwann uchelewe kurudi?Kwamba mwanaume anaweza kufunga mlango wa nyumba tunayoishi pamoja nisiingie eti sababu nimechelewa kurudi. Na kwamba anategemea akinifungia hivyo niende kulala kwa wazazi wangu😂😂😂😂😂.