Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 13,006
- 27,081
Mim kuhongwa.... Mara ya kwanza alinihonga laki 5 akanilipia na kodi mil Moja laki 2 ya miez 6....... Mara ya pili nkapewa mil Moja na nusu ya biashara sijui hata ilikwenda wapi[emoji26]..... Mara ya tatu akalipa tena Kodi kipind hicho nmeamia kweny kinyumba kidg alilipa laki 7....... Ilipofika zamu yangu ya kumhonga nlimuhonga mtoto mzuri wa kike..... Basi hadi Leo mambo pambeHabari wana JF.
I hope wote wazima wa afya. Twende moja kwa moja kwenye mada kumhonga mwanamke ni kitu cha kawaida sana ukiwa umempenda au kumuelewa. Huwezi kuacha kumhonga mwanamke maybe ukiwa hujavutiwa nae.
Kuna uzi humu mwana alisema akisikia mwenetu kahonga kagari anahisi kutetemeka [emoji23] kila mtu anahonga kwa uwezo wake.
Binafa kitu kikubwa ninachowaz kumhonga kiumbe huyu mwanamke pesa ya kununua tv samsng flat 52’ sijui yupo wap huyu dada maskinii bora ningewk zangu hiyo tv magetoni nicheck zang cartoon tu.
Tunawapenda sana dada zetu bila nyinyi cc si kitu heshima iwe kwenu.
FUNGUKA KITU GANI UMEWAH KUMHONGA KIUMBE HUYU MWANAMKE??
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app