Rio Shabazz
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,334
- 2,169
Wataalam wa huu mkoa wa Kagera ni kitu gani bei rahisi naweza kurudi nacho jijini?
Nipeni ABC
Nipeni ABC
Kubeba mandizi mtihani aisee! Hamna kingineKila aina ya ndizi (ndizi speces) zinapatikana hapa!
Napita wilaya zote ila kwasasa niko bihalamuloUko wilaya gani? Viashiria kwamba ulikuwa Kagera nunua senene na ukifika Runazi nunua sato na sangara
Barua za kazi unaniandikiaga wwRaisi = rahisi. Hivi kuna tatizo gani kwenye mfumo wa elimu? Mbona kila siku idadi ya wasioweza kuandika kiswahili vizuri inaongezeka?
Kahawa mbichi au processedHuko mgomba tu mkuu
Na senene
UNaweza kuchukua Kahawa pia
Maharage meupe wilaya gani ndo bei cheeChukua maharage meupe uje nayo DSM matamu Sana kulia wali.
Samaki sangara nunua umpe mama yoyote awakaange uje nao.
Senene waweza nunua ukatuletea sisi marafiki zako.
Kahawa Unaweza kuja na kahawa bora kutoka kiwanda cha Tanica
Haya yote waweza kuyafanya Kama upo Bukoba mjini ambako natokea Mimi hapa Daktari wa falsafa.
mke wangu hana majiNjoo na nailoni za kutunzia magodoro
WanawakeWataalam wa huu mkoa wa Kagera ni kitu gani bei rahisi naweza kurudi nacho jijini?
Nipeni ABC
Hiyo ni wilaya mojawapo ya mkoa wa Kagera ila si rahisi kusikia Kihaya kwenye eneo hilo. Nenda wilaya za Muleba, Karagwe, Missenyi na Bukoba vijijiniNapita wilaya zote ila kwasasa niko bihalamulo
Senene mm silagi wadudu
Runazi ni wap iko wilaya gani