Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
juzi india wamerusha satelite 20 kwa mpigo kwenda anga za juu,nao wanakuja kasi sana,aircraftcarrier yao iko tayari na nyingine iko kwenye pipeline,nadhani india nao itakuwa ni taifa teule kwa mungu wao BudhaIndia nao Wako smart sana katika kutafuta technology, hawana mchezo kwa hilo.
Hii joint work ipo katika research and development ya hiyo Sukhoi FGFA/PMF ni derivative ya T-50 ndio mana hata rahisi kuchanganya ukifikiri ni moja.
Walisign cooperation agreement kuanzia 2007 na wanaproject nyingi tu wanashirikiana sio fighter jet pekee.