Nimekuwa nikijiuliza sana kwa nini watu wa protokali pale IKULU wazunguka na Kiti cha raisi wetu mpendwa Dr.Jakaya Mrisho Kikwete,Je kinamiujiza gani ya kiulinzi,jee anamatatizo gani ambapo hawezi kukalia viti vingine,je ni kuendeleza utukufu kwamba kwa vile yeye ni Raisi lazima akalie kiti tofauti na wengine,au ni ushauri wa Mlinzi wake mkuu sheikh Yahaya ,au ni woga tu jamani watu wa protokali IKULU mulioko humu hebu tafadhali nijuzeni.
Halafu nyie watu wa Protokali kwa nini munawadharilisha wafanyakazi wa Mawizara eti Kusimama pembeni saa za kazi kupeperusha bendera kumpokea Raisi hammuoni Raisi anapingana na kile alichoeleza kwenye hotuba yake ya tarehe 28 kwamba wanasiasa waache wananchi wafanye kazi,kwa namna nyingine munapowapanga wafanayakazi wa serikali ili kumpokea Raisi ,hamuoni kwamba munawapotezea muda ukiwaangalia hatu sura zao wanaonyesha hawapendi munavyofanya
Halafu nyie watu wa Protokali kwa nini munawadharilisha wafanyakazi wa Mawizara eti Kusimama pembeni saa za kazi kupeperusha bendera kumpokea Raisi hammuoni Raisi anapingana na kile alichoeleza kwenye hotuba yake ya tarehe 28 kwamba wanasiasa waache wananchi wafanye kazi,kwa namna nyingine munapowapanga wafanayakazi wa serikali ili kumpokea Raisi ,hamuoni kwamba munawapotezea muda ukiwaangalia hatu sura zao wanaonyesha hawapendi munavyofanya