Vibali vitumike kwa wakulima wa mbaazi

Sep 14, 2023
82
66
Wananchi na wakulima wa zao la mbaazi wanaomba kauli ya Mheshimiwa Rais ya kushauri wakulima wa korosho wasafirishe korosho zao kwa vibali. Pia itumike kwa wakulima wa mbaazi wilayani Kiteto kuruhusiwa kuuza mbaazi zao kwenye masoko yenye bei kubwa, kuliko kulazimishwa na watu wachache kuuza kwenye mnada wenye bei ndogo.

Na tunapokwenda tutaonyesha na kufuatilia nani yupo nyuma ya huu mnada, nani anafadika kwa bei ya Tsh. 2130/ bei ya mnada wa jana.

Tunawakumbusha viongozi wetu wa Wilaya kufuatilia hotuba 15/09 Mh Rais wetu kuhusu watu kupewa vibali vya kusafirisha korosho na adha wanaopata wakulima.
 
Serikali inawalea sana wakulima na watu wa vijijini. Na ndio maana wataendelea kuwa masikini.
 
It seems Wana kiteto hawakuelewa ile kauli ya vibali vya kusafirisha korosho. Korosho zinauzwa kwa minada kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani na kutakiwa kusafirisha kwa meli kupitia bandari ya mtwara. Ishu ya vibali inakuja kwa korosho zitakazotakiwa kusafirisha kwa njia ya barabara (korosho zilizokwisha uzwa minadani)
 
It seems Wana kiteto hawakuelewa ile kauli ya vibali vya kusafirisha korosho. Korosho zinauzwa kwa minada kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani na kutakiwa kusafirisha kwa meli kupitia bandari ya mtwara. Ishu ya vibali inakuja kwa korosho zitakazotakiwa kusafirisha kwa njia ya barabara (korosho zilizokwisha uzwa minadani)
Hata Minada Haina wanunuzi wapo watu wao ndio wamechukuwa vitengo vyote kuanzia Kutunza maghala hapo kamesheni ni Tshs40/ Kwa kg, Bado hao wa Vyama wapi kutoka Arusha ACU wanahifhi Hadi mkoa wa manyara, , hapo Bado Amcos Matui, Amcos kaloleni halafu halimashauri
 
Back
Top Bottom