Kitchen Party: Yatokanayo...

Nini kilicho asilimia mia? Hata DNA ya mzazi na mtoto haiko asilimia mia...sasa itakuwaje maneno yangu ninayoyatoa kwenye mtandao kama Julius (jina bandia) aka Nyani Ngabu yawe ya uhakika kwa asilimia mia?

Hiki:

Huwezi kumkuta mtu aliyeelimika kama Mama Migiro akimfanyia bintiye huu ujinga ujinga. Hata wanawake wale wanaofagilia huu upuuzi ukiangalia elimu zao ndi ndogo sana.

Nyambaaaf kabisa...
umeeleweka...
 
Aisee unaonekana ujakanyaga bongo muda mrefu sana. Njoo bana uone unaowaita wasomi walivyo mtari wa mbele kwenye hii shughuli..

Hehehehe...unajuaje hivi sasa sipo bongo? Hebu njoo hapa Imalaseko tupige stori...au usharudi?
 
Hehehehe...unajuaje hivi sasa sipo bongo? Hebu njoo hapa Imalaseko tupige stori...au usharudi?

Unazungumzia Imalaseko supermarket? Sasa hivi saa 5 kasoro usiku. Imalaseko ya wapi hiyo ambayo iko open mpaka sasa hivi.

Unazidi kudhihirisha...
 
Unazungumzia Imalaseko supermarket? Sasa hivi saa 5 kasoro usiku. Imalaseko ya wapi hiyo ambayo iko open mpaka sasa hivi.

Unazidi kudhihirisha...

Of kozi najua ni muda gani sasa hivi...wewe njoo panda juu pale utanikuta. Supermarket si iko chini...
 
Ndugu yangu
unavyojisikia ndivyo nami najisikia...... mambo yamekuwa diluted mno hadi kukosa ladha na maana.
Hiki tunachojadili ni darasa la introduction.Full programme baadae.


Vera,

Naona sasa tunataka kwenda mbali. Una maana kuwa kuna mtu anafikisha umri wa kuolewa bila uelewa wa mambo ya msingi kama hayo mnayoongelea? Siamini kama kuna binti atakuwa hajui kufanya usafi wake mwenyewe na nyumba yake ili aje kuparazwa parazwa kwenye KP ya masaa 2 tu! My wife wangu hakufanyiwa KP na sijaona kitu anachopungukiwa. Kama KP zingekuwa zinaandaliwa kwa maana ile ya asili (mfano wa unyago) nisingekuwa na tatizo. Ila hizi za sasa zimejaa uswahili swahili na tabia ya kutumia pesa hovyo. Misifa mingi tu!
 
Vera,

Naona sasa tunataka kwenda mbali. Una maana kuwa kuna mtu anafikisha umri wa kuolewa bila uelewa wa mambo ya msingi kama hayo mnayoongelea? Siamini kama kuna binti atakuwa hajui kufanya usafi wake mwenyewe na nyumba yake ili aje kuparazwa parazwa kwenye KP ya masaa 2 tu! My wife wangu hakufanyiwa KP na sijaona kitu anachopungukiwa. Kama KP zingekuwa zinaandaliwa kwa maana ile ya asili (mfano wa unyago) nisingekuwa na tatizo. Ila hizi za sasa zimejaa uswahili swahili na tabia ya kutumia pesa hovyo. Misifa mingi tu!
ni mtizamo tu.... Wako wengi wanaolewa bila KP
 
ni mtizamo tu.... Wako wengi wanaolewa bila KP

Sasa mbona unataka kujiingiza kwenye mtego wa kuanzisha darasa mbadala wa KP? Ningeshauri kama una kitu basi andika kitabu. Nitakuwa tayari kukusaidia kuhariri. Ila kuanza kitu kingine kama KP kunaweza kulete KPxKP na mwisho wake ukawa matatizo zaidi!
 
Sasa mbona unataka kujiingiza kwenye mtego wa kuanzisha darasa mbadala wa KP? Ningeshauri kama una kitu basi andika kitabu. Nitakuwa tayari kukusaidia kuhariri. Ila kuanza kitu kingine kama KP kunaweza kulete KPxKP na mwisho wake ukawa matatizo zaidi!
Nadhani hujanielewa ndugu yangu..sina maana kuanzisha KP nyingine... im still thinking through.... nitakushirikisha wakati ukifika.
 
Nadhani hujanielewa ndugu yangu..sina maana kuanzisha KP nyingine... im still thinking through.... nitakushirikisha wakati ukifika.

Unahanngaika na nini dada? Hebu nenda moja kwa moja kwenye mambo ya msingi. Kuna upungufu wa taarifa na kuna watu wanahitaji hizo taaria na maarifa kwa ajili ya kujiandaa na maisha ya ndoa. Kama hizo taarifa unazo kwa nini unapoteza muda? Andika kitabu. Faida zake ni nyingi na kitatumiwa na wengi. Na shule itakayokuwemo itakuwa haina upotoshaji kama huo wa kiswahili na kurusha roho! Unaonaje?
 
unahanngaika na nini dada? Hebu nenda moja kwa moja kwenye mambo ya msingi. Kuna upungufu wa taarifa na kuna watu wanahitaji hizo taaria na maarifa kwa ajili ya kujiandaa na maisha ya ndoa. Kama hizo taarifa unazo kwa nini unapoteza muda? Andika kitabu. Faida zake ni nyingi na kitatumiwa na wengi. Na shule itakayokuwemo itakuwa haina upotoshaji kama huo wa kiswahili na kurusha roho! unaonaje?

murua!
 
Unahanngaika na nini dada? Hebu nenda moja kwa moja kwenye mambo ya msingi. Kuna upungufu wa taarifa na kuna watu wanahitaji hizo taaria na maarifa kwa ajili ya kujiandaa na maisha ya ndoa. Kama hizo taarifa unazo kwa nini unapoteza muda? Andika kitabu. Faida zake ni nyingi na kitatumiwa na wengi. Na shule itakayokuwemo itakuwa haina upotoshaji kama huo wa kiswahili na kurusha roho! Unaonaje?

I disagree. Kuandika vitabu is not a panacea to society ills. Some problem ought be dealt with in an unconventional manner. How many books are there documenting society shortfalls and how many do offer solutions to these problems? Would you expect each and everyone to take it to the library in order to solve them? Workshops, seminars, conferences, KP and any other aspect of live engagement with audience sometimes has more bearing to concerned part than knowledge acquired through literature.
 
Huu ni uswahili swahili (whatever the hell that means) tu na elimu ndogo. Huwezi kumkuta mtu aliyeelimika kama Mama Migiro akimfanyia bintiye huu ujinga ujinga. Hata wanawake wale wanaofagilia huu upuuzi ukiangalia elimu zao ndi ndogo sana.

Nyambaaaf kabisa...

Kama alivyosema SteveD, haya mambo yameya-dilute mno hata hayaleti maana, yanaelekea kwenye ukahaba zaidi kuliko ilivyotakiwa.

Mambo haya kwa waliopitia ilikuwa ni elimu ya muda mrefu, ijumuishayo maisha kwa ujumla.

Ngoja nitoboe sire kidogo:
Mafunzo ya jamii yalitolewa kila shule zinapofungwa, watoto wa walipelekwa makambini mbali na kijijini, pia wakiume walipelekwa kwao pia.

unyago wa kwanya tunaita msondo-hutu ni tubinti ambatyo hatujapevuka, elimu yao ni kuwaandaa na maisha ya kupevuka. Kuwaandaa kuupokea mpevuko.

Unyago wa pili ukishapevuka: hii ni kubwa kwa sababu binti kama unajeuri ndivyo utakavyowekwa muda mwingi mpaka urekebishike. Na wamama wanamsubiri sana binti kwenye kipindi hiki. Hivyo kila binti alijitunza na kuheshimu kila mkubwa ili tu siku yake ikifika yasije mfika. Zawadi zilitegemea pia jinsi binti unavyojitunza, heshima n.k.


Wazazi pia ilikuwa ni fahari kama binti unafikia muda huo ungali msichana(yaani bikra). I miss this education. maendeleo yameharibu taratibu zetu, siku hizi tunafunzwa na TV.

Unyago wa ndoa: huu ndiyo tunamwandaa mwali kimaisha ya ndao na kumkaribisha rasmi kundini. Atapewa A B C za jinsi ya ku-behave kwa mumewe, na in-laws.

Unyago wa mimba: bila kuchoka jamii ilimfundisha mwadada anayetarajia kupata mtoto ajitunze vipi, a-control vipi mabadiriko yanayotokea mwilini mwake n.k. bila kuleta mtafaruku kwenye ndoa yake.

kwa upande wa wanaume nao vilevile.

Sasa leo mnakutana ukumbini kwa masaa matatu mmeshamfunda mwali????? Jamani? anyway...
 
SteveD;608898]I disagree. Kuandika vitabu is not a panacea to society ills. Some problem ought be dealt with in an unconventional manner. How many books are there documenting society shortfalls and how many do offer solutions to these problems? Would you expect each and everyone to take it to the library in order to solve them?

Great, that's your position. It doesn't have to be the same to mine. I still suggest to Vera to put her ideas in a book.


Workshops, seminars, conferences, KP and any other aspect of live engagement with audience sometimes has more bearing to concerned part than knowledge acquired through literature.

If in particular those three were working, TZ would have solved all of its problems. I bet we might hold a world record in the Guinness Book for holding such useless fora. Hope you are not suggesting other loopholes for more per diems and sitting allowances!!
 
Great, that's your position. It doesn't have to be the same to mine. I still suggest to Vera to put her ideas in a book.




If in particular those three were working, TZ would have solved all of its problems. I bet we might hold a world record in the Guinness Book for holding such useless fora. Hope you are not suggesting other loopholes for more per diems and sitting allowances!!

That was an example on means to engage people. Likewise, it goes without pointing out that not every-bride-to-be in Tanzania is capable of digesting and synthesizing contents of a well-written book, should there be one that is.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom