rugash
Member
- Mar 23, 2019
- 9
- 7
ngoja niende Amazon.Kimeandikwa na GEORGE SAMUEL CLASON
ngoja niende Amazon.Kimeandikwa na GEORGE SAMUEL CLASON
Click hilo jina ili kuweza kudownload kitabu, nimekurahisishia mkuu.ngoja niende Amazon.
Hiki kitabu ni nomaaaaa aise, kiko poa.NI VIGUMU KUNISHAWISHI KAMA KUNA KITABU KIZURI ZAIDI YA HIKI.
Nimesoma zaidi ya vitabu 150 mpaka sasa ila hiki ni mwisho wa matatizo.Vitabu wanavyovitaja nimevisoma karibu vyote
View attachment 1001069
Yeah, there you are.Kitabu kilichonibadilisha
The monk who sold his Ferrari by Robin Sharma
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ni master pieceUkisoma "Think and grow rich-Napoleon Hill" lazima utakuja kuedit hiyo reply yako.
NOTE:
Nimesoma vyote hivyo viwili na nilianza na hicho cha Kiyosaki nikawa nakisifu kama wewe ulivyoandika
Hivi kwa nini mnapenda sana hela!Lipo group moja la ma full consciousness nondo nyingi sana za kujitambua from different sources za vitabu; lina ada ya buku tano kwa mwezi; mi ni member sijutii kuwa huko
Think and grow rich......kisome hicho hlf uje uifute hii post yako
I am in need of the Book "The Total Money Makeover by Dave Ramsey" anyone with this book please share.
Kitafute mkuu...kina madini
Vp mkuu hicho kitabu kipo fresh ulivyokiona mana lecturer wang mmoja hiv aliniambia nikisome na had leo sijasoma- Magic of thinking big
- Change your thinking change your life
- The power of your subconsious mind
Wiki hii biz naendelea kusoma kitabu cha Darren Hardy "The compound effect"
Sent using Jamii Forums mobile app
You are a life server