Kitaaluma mimi ni mwanasheria

Kitaaluma mimi ni mwanasheria

Mhitimu wa chuo kikuu huyo, mtaalam wa sheria!! Tunamtegemea kwenye mikataba ya raslimali zetu, na ushauri kupata katiba bora. Wengine mapovu yanawatoka kwa matokeo mabovu ya sekondari, eti mfumo.... Hivi mama Ndalichako angefanya nini? Kisia amehitimu chuo gani. Wapo walioanzisha chuo ili kupambana

ha ha ha ha bato hili ni jukwaa la picha angalia picha ndiyo uanze kuongea loh.....
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi sijamsoma kabisa huyu mdau aisee

mke mwenza ukiangalia hiyo sub title hapo chini ndiyo mleta picha alitafsiri kutoka hapo akafanya kichwa cha habari... ni movie za kibongo na subtitle zao
 
mke mwenza ukiangalia hiyo sub title hapo chini ndiyo mleta picha alitafsiri kutoka hapo akafanya kichwa cha habari... ni movie za kibongo na subtitle zao

Mke mwenza picha nimeelewa ila sijamuelewa huyo mdau uliyemkoti hapo juu
 
ahahahaha, niko west africa napambana na ebola bwana. afu usini-quote tena ntakuambukiza.
cc Don Mangi, hii kesi ya avatar sijui tunaimalizaje, mweeh

Hahahaaa,hapo itakuwa mahaba niambukize mweee...
mpaka uirudishe ile nyingine.unarudi llini ex-mpenzi tuje kupasha kiporo karibia kinachacha huku....
 
ngoja nikutumie tikiti uje tutazame fursa huku. Unajua tunaweza kuanzisha kiwanda cha masks hehehe
:A S 11::A S 11::A S 11:
Hahahaaa,hapo itakuwa mahaba niambukize mweee...
mpaka uirudishe ile nyingine.unarudi llini ex-mpenzi tuje kupasha kiporo karibia kinachacha huku....
 
weeh endelea tu. hapa mwenzio na-type huku nimevaa masks and googles ( sio goggles hehehe, forgive my ingirish)
Kweli uko huko????? Khaaa na hizi quote zetu je????

huyo bato anadhani alieandika hapo ndio mhitimu wa sheria. hajui wema sepetu ndo mwenye kujua english ndo anawataftia mkalimani.
Hata mimi sijamsoma kabisa huyu mdau aisee
 
Kiingereza kimebakwa kinyume na maumbile hapa....tena kimeambukizwa Ebola
 
kama alikua anaongea sijui mmejuaje kama amechapia
 
Back
Top Bottom