Kitaaluma mimi ni mwanasheria

Kitaaluma mimi ni mwanasheria

oooook nimeleewa hiyo ni ile tafsiri inayopita chini ya TV?
 
DESA.jpg
 
hata uwe mzalendo vip, kuwa mshabiki wa bongo movie ni janga!
 
hahaha. rais wenu alishawahi kusema we are manufacturing primary school teachers. lugha ya meli hiyo saa zingine ulimi unatrezzaaa

Huwa nashindwa kushangaa mkufunzi wa chuo kikuu anapoitwa 'lecture'
King ujue mimi sasa hivi nashindwa ku-concentrate kwenye kile unachoposti. Hiyo avatar ni mauaji ujue.
 
hahaha. rais wenu alishawahi kusema we are manufacturing primary school teachers. lugha ya meli hiyo saa zingine ulimi unatrezzaaa

Huwa nashindwa kushangaa mkufunzi wa chuo kikuu anapoitwa 'lecture'

Juzi kati napata kamradi mbuzi kwa prof wa chuo kikubwa mjini hapa ambacho wa makondeko wanajiona wana mikosi wasipopata nafasi ya kujinga hapo...ipotezee! Kimbembe ni pale nilipotambulishwa kwa bashasha na 'ndugu Prof' kwa mkewe kwamba ''huyu ni architecture' instead of architect....
 
Mhitimu wa chuo kikuu huyo, mtaalam wa sheria!! Tunamtegemea kwenye mikataba ya raslimali zetu, na ushauri kupata katiba bora. Wengine mapovu yanawatoka kwa matokeo mabovu ya sekondari, eti mfumo.... Hivi mama Ndalichako angefanya nini? Kisia amehitimu chuo gani. Wapo walioanzisha chuo ili kupambana


Mwee wewe mbona mgumu kuelewa 😕
 
hahaha sasa wakikutana na mama ntilie kama mie ndo unatambulishwa 'she is our cooker'
tooobah!
Juzi kati napata kamradi mbuzi kwa prof wa chuo kikubwa mjini hapa ambacho wa makondeko wanajiona wana mikosi wasipopata nafasi ya kujinga hapo...ipotezee! Kimbembe ni pale nilipotambulishwa kwa bashasha na 'ndugu Prof' kwa mkewe kwamba ''huyu ni architecture' instead of architect....
 
Juzi nimesoma sehemu, wameandika Afrika zinatengenezwa movie nyingi kuliko Holliwood, lakini wanashangaa kwanini bado masikini, mi nikaona akutukanae hakuchagulii tusi.
 
Back
Top Bottom