Kitaaluma mimi ni mwanasheria

Kitaaluma mimi ni mwanasheria

Mi napenda tu yale maigizo ya zamani kidogo ya kina jengua, muhogo mchungu, swebe, nyamayao na wengineo lakini siyo haya mataputapu ya leo wanajifanya kuiga uzungu lakini wanaishia kuharibu maadili yetu na kuchafua lugha za wakoloni bure kabisa.
 
Back
Top Bottom