Ukiitwa Mswahili Maana Yake ni nini ?-Kikwete
Ni kweli baada ya kumchafua Salim A. Salimu anampa nafasi kamati kuu,baada ya kumuwanika Salimu kuwa ndiye aliyehusika kumuuwa Rarume kwenye magazetila mwananchi wakati wa kampeni 2005.
Maana yake ni mTanzania; hata yule asiyejua kiswahili.