Mwawado
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 993
- 252
Kaka Worm, nimejaribu kuandika maana ya baadhi ya hayo maneno,lakini Waungwana wengine Ruksa kunisahihisha;
1. Fala - Mjinga,Mzembe.
2. Nyomi - Wingi.
3. Mdebwedo - Nafikiri neno hili lina maana sawa na Mdabwada
(nguo chakavu)
4. Mswano - Nzuri,neno hili lina asili ya kigogo.
5. Tinginya - Kubwa.
6. Chelea Pina - Mambo poa/mambo mazuri
(Neno hili lilikuwa linatumiwa sana kwenye
gazeti la sani)
7. Msela - Mjanja,Bitozi.
8. Mneli - Sifahamu maana yake.
9. Msuba - Bangi,Hashish,Ganja,Jani kubwa etc
10. Fyatu - Kupungukiwa akili,kichaa.
1. Fala - Mjinga,Mzembe.
2. Nyomi - Wingi.
3. Mdebwedo - Nafikiri neno hili lina maana sawa na Mdabwada
(nguo chakavu)
4. Mswano - Nzuri,neno hili lina asili ya kigogo.
5. Tinginya - Kubwa.
6. Chelea Pina - Mambo poa/mambo mazuri
(Neno hili lilikuwa linatumiwa sana kwenye
gazeti la sani)
7. Msela - Mjanja,Bitozi.
8. Mneli - Sifahamu maana yake.
9. Msuba - Bangi,Hashish,Ganja,Jani kubwa etc
10. Fyatu - Kupungukiwa akili,kichaa.